Kiongozi wa kiafrika, Mzalendo kama Nyerere, Thomas Sankara na Magufuli asingekubali wananchi wao wanyonywe kupitia tozo

Usiwachanganye Mwalimu Nyerere, Thomas Sankara na wezi.
Tueleze ilikoenda Tshs 1.5 Trillioni.
 
Ninyi mliotumika kuteka na kuua pamoja na kuiba Awamu iliyopita, mtajitaja sana Awamu hii,
 
Acha porojo za kijinga wewe,lipa Kodi na tozo stahiki za Serikali upate maendeleo na huduma Bora..

Hao unaowataja walikuwa failures kwenye uchumi hakuna anaeweza kuwafanyia rejea kwenye uchumi labda porojo na propaganda uchwara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…