Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Kama unafahamu historia kidogo tukio la kutekwa na kuumizwa vibaya kwa Dr. Ulimboka silakustua. Hii ni kawaida wakati tawala chovu kama huu zinapokua ktk hatua ya mwisho kuanguka!
 
Tumuombee Mungu aponee haraka,arudi kuwa na afya njema. Ukweli wa yote yaliyotokea yatajulikana,hamna siri tena hapa.
 
Hadithi za shigongo hizi.
 
Sasa mitusi ya nini best, si ujibu hoja? kama huna la kusema bora unyamaze...
unapindisha ukweli kwenye issue sensitive ambayo ipo wazi haiitaji uchunguzi wowote kuitambua hata mtoto wa darasa la pili atatambua na hayo ndio malipo yako ukome na vipropaganda vyako ulivyo tumwa.
 
Naamini njia zao zingine ziligonga mwamba na wameamua kubadilisha tu njia za ubabe, wameona sumu inadunda wameanza kuwadunda sasa. Ila kwa nini Dr. Ulimbooka alikubali kutoka usiku ule wote na alikuwa anajiamini nini? Kwa kweli naye hakufikiria vyema, Japo si mda wake sasa kulaumu ila watu wengine wajifunze wasije kukubali kukutana na mtu yeyote usiku hata kama iweje. Kwa sasa ngoja tuone madaktari watachukua hatua gani kulingana na hili tukio la kusikitisha sana
 
usilete nadharia hapa wewe, ya nini kuingia gharama za kumdhuru Dr Ulimboka badala ya kwenda hospitali binafsi? si lazima utibiwe hospitali za umma na hasa unapojua kuna tatizo la mgomo
 
Kipindi hiki ni cha mvutano wa madaktari na serikali pengine jamaa ameamua kuzima simu na kubadilisha makazi kwa hofu yake tu kisha tunasema katekwa ......

sioni sababu ya kusema sana kama hatuna uhakika na jambo hili



Dr. Ulimboka akipelekwa kwa ajili ya MRI hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kujeruhiwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo..SOURCE:MEDICAL ASSOCIATION OF TANZANIA PHOTOS

 

BONGE LA ANALYSIS....mkuu, you're GREATEST THINKER!!
 
wewe kama unaakili timamu kwanini mpaka uambiwe cha kufanya. Hao unao wategemea unafikiri wana jeuri hiyo? Wake up man
 
Dk. Ulimboka akimbizwa hospitali
Kiongozi wa Jumuiya ya Madaktari nchini Tanzania Dk.Steven Ulimboka amefikishwa
katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI), akiwa mahututi baada ya kuokotwa eneo la
Mabwepande.

Hivi huko MOI nako si kuna mgomo au?? Yeye amepokelewa kama nani (mgonjwa wa kawaida kama wananchi wengine tulionyimwa huduma au yeye ni spesheli??)

Double standards all the way............

Pole Dr. Ulimboka ila yawezekana pia watekaji walitaka kuona je huyu Dr. Ulimboka akipata shida inayohitaji matibabu atahudumiwaje kipindi cha mgomo!? - Just speculating
 
he he wasali tu apone maana nafikiri hii serikali itafia kwenye hili tatizo na watanzania tusiporeact hapa basi tena, im ready for any move na walah kama kuna the hague one of the government officials need to go for sure, **** the heartless creatures for this, may they be cursed with their children and grand children, its very very bad,
 
ufisadi,dhambi na dhuluma kamwe havitashinda haki,sirikali hii dhaifu kama imefikia udhaifu huu basi ni wazi ina mchoko wa akili na mwili,naona ndo wanalianzisha hili balaa.
 
usilete nadharia hapa wewe, ya nini kuingia gharama za kumdhuru Dr Ulimboka badala ya kwenda hospitali binafsi? si lazima utibiwe hospitali za umma na hasa unapojua kuna tatizo la mgomo

Kama unazani kila mtu ana uwezo wa kwenda hizo hospitali binafsi basi una safari ndefu ya kuifahamu nchi yako unless kama wewe si mwenzetu
 
ila wahusika wa hili jambo watambue kuwa KILA NAFSI ITAONJA MAUTI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…