Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Hili halita kwenda likaisha hivi hivi. Mijizi mikubwa hii
 
Waliomteka ni watu wenye hasira za kufiwa na ndugu zao na kukosa huduma mahospitalini kwa ajili ya huyu mnafik pamoja na wenzake.
 
wana JF, je inawezekana kuanzisha michango hapa kwa ajili ya matibabu ya huyu dr Ulimboka na ikiwezaka nje ya nchi. kama masanja aliweza kufanikisha michango kwa ajili ya Sajuki, kwa nini JF yenye wanachama zaidi ya 80,000 washindwe?
Kila member wa JF achangie kiasi kidogo cha 1000/ tu. Nani anaweza kuratibu hii kitu?????????????//
 
hiyo statement ndio ushahidi wako? Je nikisema kuwa CHADEMA baada ya kusikia maneno ya PM wametumia vijana wao kufanya hili tukio. Mtu anaweza kujipachika jina lelote na cheo chochote.
 


Sasa atahudumiwa na nani wakati madaktari wamegoma?
 
nikimaliza mhimbili nasepa zangu zimbabwe sifanyi kazi katika hospitari za serikali ni ujinga mkubwa
 
Naunga mkono hoja...
 

I hope this story is not true.

Mkuu usimlaumu Ulimboka, what if hii ni kawaida ya yeye kukutana na vingozi wa serikali chini ya usimamizi wa secret agents?. Kama ni kweli yamemkuta yaliyomkuta Ulimboka basi this is the war for the Govt to lose. Kazi ya usalama wa Taifa ni nini hasa?. Mi najua kuwa watu ambao huwa na influence kubwa sana katika nchi huwa wanalindwa bila wao kujijua kwa masilahi ya nchi, maana anything happens to them will trigger unrest.

Hii vita ni vita ambayo serikali imechagua wakati ikiwa haina jeshi na silaha za kuishinda.
 
Huyu nae naanza kumuona ni mpumbavu tu, je yeye anauhakika gani kama ndio serikali imehusika, hizi statement mchwara ndio zina kuja kuwaponza hawa wanasiasa mchwara.
 

Mimi nadhani wananchi tunatakiwa kuchukua hatua ya kumchapa na kumzika raisi Kikwete yeye na familia yake akifuatiwa pinda yeye na familia yake waliofilisi nchi hii kwa kuuza kila kitu kilicho juu na chini ya ardhi yetu, lakini sio madaktari wanaotugombea sisi wananchi kupata huduma bora
 
hiyo statement ndio ushahidi wako? Je nikisema kuwa CHADEMA baada ya kusikia maneno ya PM wametumia vijana wao kufanya hili tukio. Mtu anaweza kujipachika jina lelote na cheo chochote.


Naona unataka kuleta ubishi usiokuwa na kichwa wala miguu...Wewe amini unavyotaka kuamini wewe, na Watanzania wenye akili timamu ya nini kinachoendelea nchini wataamini vile wanavyotaka kuamini wao.
 
Angekamatwa ingejulikana ni kwa sababu zipi na amepelekwa wapi, unasema amekamatwa kwa mahojiano zaidi,unajua amekamatwa na nani na anahojiwa kuhusiana na nini?


Sitasema lolote hadi Serikali itoe tamko juu ya jambo maana kwanza siamini haya mazingaombwe .
 
huko fb,kuna picha tayari zinazomuonyesha dr ilimboka baada ya kupigwa!kwa kweli hali ni mbaya
 
Inawezekana kabisa kuwa ni njama/mbinu/mkakati wa wapinzani ili kuchochea hasira ya wananchi dhidi ya serikali yao. Sidhani km serikali wanaweza kufanya upuuzi/kosa hilo.
 
Sidhani kama kuna haja ya kusubiri uchunguzi wa polisi. Kwa mtu yeyote anayejua namba ya simu ya Dr Ulimboka, aiweke hapa jukwaani. Kuna watu ndani wa Tigo/Voda/Airtel/Zantel, wazichukue wacheck kwenye system kuona mara ya mwisho aliwasiliana na nani...
My foolish brain... sidhani kama hao wahuni watakuwa wameacha record yeyote kwenye system ya namba ya Dr... watakuwa wameshazifuta huko Voda...
But at least we have the name... Abeid, Abeid, Abeid...

no, no, no... Huyu mtuma thread (langei) amejuaje huyu jamaa aliwasiliana na Abeid?... wakati alikuwa hawezi kuongea wakati anaokotwa? Langei hebu isaidie JF kwenye uchunguzi...
 

Try to think out of the box also. Remember Matiku from UDSM???

When you have to analyse issues you have to do it critically, meaning that you have to look at both possibilities. So far your possibilities are one sided bro!!!
 
Pole ndg Dr.Uli,Hakika Mungu atakulipia na damu yako iliyomwagika imejaza ujasiri watanzania wengine wengi.Aluta Continua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…