Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Waliomteka ni watu wenye hasira za kufiwa na ndugu zao na kukosa huduma mahospitalini kwa ajili ya huyu mnafik pamoja na wenzake.

Hopeful hasira ulizozionesha kwenye hii post dhidi ya Dr Ulimboka haikuweki wewe na serikali mahala salama katika sakata hili.
 
hili si la kuatuamisha kirahisi hivyo juu ya wahusika wa tukio hili. pande zote mbili zinaweza kuhusika kwani suala la mgogoro wa madaktari limekuwa na maslahi ya kisiasa
 
Mhh! hapa wamefika mbali sasa... picha ukurasa wa facebook clouds FM


480093_416306165079474_1787286762_n.jpg

 
Emancipate yourselves from mental slavery;
None but ourselves can free our minds.
Have no fear for atomic energy,

'Cause none of them can stop the time.

How long shall they kill our prophets,
While we stand aside and look? Ooh!
Some say it's just a part of it:
We've got to fullfil the book.

Have no fear for atomic energy,

'Cause none of them can stop the time.

 
mkuu nimekusoma, lakini piga ua garagaza lazma serikali iwajibike kwa hili.
...Kwa serikali hii dhaifu na lege lege unategemea uwajibikaji wa aina gani? Nadhani hapa suala liko kwetu umma wa Tanzania kuiwajibisha serikali...Watanzania bado hatujawa na ujasiri wa Wa-Libya, Wa-Misri nk.....Pole Ully!!
 
Habari zinazoletwa na magwanda humu ndani huwa za kutatanisha, mara "atekwa", mara yuko "polisi", mara kaokotwa "mabwepande" yuko taabani.

Hivi huwa hamjui kusema kweli?

Isitoshe, kama kweli hili la mwisho la kuwa kala kichapo mpaka kawa taabani limefanyika, basi hapo itakuwa kuna watu wenye uchungu wameupokea ushauri wangu nilioutoa jana humuhumu JF, huu hapa:

Ofcourse System at Work, and you did it! wait your turn!
 
Huyo hajatekwa bali kakamatwa kwa mahojiano zaidi. Hata hivyo, reconciliation ndio aende pekee yake ? Naye alikosea kama kweli alienda pekee yake; maana hata watu wenye nia mbaya na Serikali wanaweza kuchukua hatua kama hiyo ili kuleta taharuki zaidi !!!!

Mkuu sawabho, hata hii picha bado inadanganya? au mahojiano kwa njia ya makonde?
Kweli Tanzania kama uijuavyo!
250995_412575955460231_1315467396_n.jpg
 
Last edited by a moderator:
Ina maana serikali haijatoa tamko kuhusu Ulimboka?
CDM watoe tamko...
Mapema kabla ya saa nane pliz
 
zombe aliua mabwepande m kwere nae anataka kuulia huko huko sijui ataunda tume tena?
 
Waliomteka ni watu wenye hasira za kufiwa na ndugu zao na kukosa huduma mahospitalini kwa ajili ya huyu mnafik pamoja na wenzake.
ah kumbe wewe unawafahamu naona itakuwa vizuri utusaidia kwa uchunguzi
 

Naona unataka kuleta ubishi usiokuwa na kichwa wala miguu...Wewe amini unavyotaka kuamini wewe, na Watanzania wenye akili timamu ya nini kinachoendelea nchini wataamini vile wanavyotaka kuamini wao.
Watanzania wenye akili timamu watasubiri ushahidi halafu ndio walamu sio kutoa hukumu utasema ulikuwepo kwenye tukio.
 
Hizi ni mbinu za Madikteta wote duniani..sasa watanzania hata wale waliokuwa wahihisi tuna demokrasia wamejua kuwa sisi ni sawa na nchi za kidikiteta. Tunaongozwa na majambazi na sasa tujue kuwa tunahitaji ukombozi
 
Sina hakika na ukweli wa habari hii!
Kwa uhusiano alionao na serikali hii, saa sita ya usiku anaenda kufanya 'reconciliation' na 'mtu' wa serikali? Tena peke yake bila viongozi wenzie? Atakuwa wa ajabu basi!

Huyu Bw. tangu mwanzo nili dought uwezo wake na leo hisia zangu zimethibitika. Kwa mtu yeyote makini na mpiganaji wa kweli hawezi kufanya kosa kubwa kama hilo la kutoka usiku peke yake kwenda kuonana na mtu asiyemjua. He deserves to surfer his stupidity.
 
haya mazingira yanatupeleka wapi ??? wahusika je wa awali wameshakamatwa??
 
Back
Top Bottom