Na wewe tukutandike kwa jinsi unavyo kula rushwa ya "human trafficking" kwa kusafirisha Wahabesh na Waeritria ?Naipenda sana michango yako humu JF, hili la Ulimboka tusiingize vyama, ni sawa kabisa na pia tusivituhumu vyama.
1) Inawezekana Ulimboka katandikwa na watu wenye uchungu.
2) Inawezekana kapigana kwa ujeuri wake na wenzake wakamshinda nguvu (hata kama alikuwa chini ya ulinzi anaweza kujidai kupigana na askari).
3) Inawezekana wasoitakia mema serikali wakafanya njama wao wenyewe wamtandike huyu ili ionekane serikali mbaya.
Lakini nasema kuwa, ikiwa ni raia wenye uchungu wamechukuwa shria mkononi na kumtandika huyu, basi hawajafanya makosa. Astahili yake.
Naomba uninukuu vizuri mkuu. Nimesema, na nasisitiza nitakuwa wa mwisho KUAMINI kuwa serikali/polisi ndio waliofanya jambo hili. Sasa, hata kama hawakufanya wao haiwaondolei jukumu la kulinda usalama na amani ya nchi...Si umesema utakuwa wa mwisho kulaumu! umeanzisha thread!
Mbona wengine wanaokufa kwa ajili ya yeye kugoma huwaombei ? huo sio ubaguzi wa binadamu wenzako ?
pole Dr, hata libya ilianza hivihivi, serikali dhalimu ya watu dhaifu, hutumia mabavu badala ya hoja
Sasa kulikuwa na haja gani ya wewe kubandika hiyo orodha nzima hapa?
Mnaomsikitikia huyo fedhuli mmoja, mnajuwa ni wagonjwa wangapi wanaoathirika na upumbavu wake? au wale sio binaadam? binaadam ni huyo kibaraka pekee?
Nasema astahili yake, mtoto akichezea wembe mwachie, na bado.