Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

hii mada ina mantiki sn. kwa nn atibiwe huu dokta kinara wa mgomo. UKWELI NI KWAMBA KAZI UDAKTARI HAIPASWI KUWA NA MGOMO. HIYO NDIYO SHERIA YA BAADHI YA NCHI.

MUNGU amemlipa hapa hapa duniani ili naye aonje adha ya kuumwa. ASANTE MUNGU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Vichaa si kwamba wote wapo Hospitalini bali wengine mpo uraiani, kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kutoa pumba kama hizi.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Dah....sasa hapa ni dillema. Hii si karne ya kusema ametekwa na wananchi tukaelewa. Subirini mengi tutasikia na hata akifa hii movement haitaisha kamwe.
 
Honestly this is not right at all.... kweli hii serikali bora mseme mnataka vita kuliko kumpiga mtu kiasi hiki kwani akigoma si ndio serikali iwasikilize matatizo yao???????? eti serikali sikivu wakati serikali kiziwi kweli i don't understand. Je walimu nao wakigona na pia hao polisi wakigoma itakuwa ndio mchezo huu wa kuumizana??????? Kina Vua Nahodha work on this serious issue ASAP...
 
pumbav huna akili kutetea ujinga.lait ungemuona alivyopigwa ungelia.ujinga mtupu
 
Kuna tetesi kuwa kiongozi wa mgomo wa Madaktari aokotwa pande akiwa mahitihuti! Kama habari hii ni ya kweli basi tunakoelekea siko! Ipo siku mafisadi wataburuzwa barbarani!

Sio tetes ni kweli hali ni mbaya hii inaashiria nini hii inaashiria kwamba tayari kumekucha watanzania tujiandae kwa lolote kwa nini wasimteke babu yangu kule masoko mwenye ekari nusu ya migomba ? kwa nini wamteke leo na sio juz serikali haiwezi kulikwepa hili tunashukuru Pinda ulisema liwalo na liwe na sasa Limekuwa
 
Wenyewe wameshapongezana kwa Mtoto wa mkulima kutimiza ahadi yake ya kumuadabisha Dr. Ulimboka, sasa hivi wao ni vicheko tu.
 
Mleta mada hakika ni mgonjwa wa akili,na kwa vyovyote hazimtoshi kama viongozi wake wa CCM na kama mlivyoshuhudia leo bungeni kiongozi mkubwa anaongea kama tuko kijiweni napo tunataniana,maana si kila nuda kijiweni mkadhani hakuna la maana.na kwa maisha ya watu hatuna utani nayo.sasa mtu taahira kama mleta mada nadhani si lazima tumuone akikimbia uchi wa mnyama hadharani hata kwa mawazo yake tu yanatosha.

Ulimboka dr wa ukweli Mungu akuponye haraka.safari ya ukombozi hatupiti kwenye njia sooth na inapiganwa kila upande na hakika hizi ndio dalili.
 
we ndio mshabiki mpumbafu kabisa huna soni,kabisa wananchi wameanza kufa leo, wanakufa kila siku kwa kukosa hata dawa ya kuzuia damu wakizaa,kukosa nyuzi za kushonwa ,unambiwa scan machine hazifanyi kazi ocean road,muhimbili kwenyewe,x-ray ni mikoa kumi tu zinafanya kazi,zahanati asilia 51 hazina watendaji,ambulance zimeletwa pikipiki ,watoto wanakufa kila siku kwa kukosa oxygen mie sio mjinga mwenzio naipenda nchi hii na sitakubali ujinga wa baba yako mtawala mbumbumbu anayepeleka nchi yetu kwenye moto wa petroli
 
Kwenye ukweli siku zote uongo hujitenga, huyu dokta atuambie ukweli kama amekamatwa ugoni au alikuwa na beef na vijana wenzake. Asitake kusema serikali imemkamata. Hii ni serikali ya JMK sio JKN.
 
Kampe pole mama yako ambaye hata kansa ya shingo inayotibika wameshindwa kuigundua mapema kwa sababu tuu Jakaya kawauzia wazungu migodi

jitahidi kujenga hoja acha ushabiki,
ulimboka ni nani awe na thamani kuliko ma elfu ya watanzani wanaoteseka kwa mgomo?
madaktari walipo goma sijaona mtu hata mmoja akiwaita wanyama kwa mateso wanayopata watanzania wasio na hatia kwani wao sio serikali.
mlichofanya nikuendelea kuchochea vurugu
 
Swali langu mi nahoji kwann madaktari wameudumie yeye wakati wamegoma? Mwacheni naye aonje machungu wanayopata wagonjwa hapo hapo Muhimbili kwa kuendeleza mgomo wao, Mkuki kwa Nguruwe sio?
"MPUMBAVU AKIKAA KIMYA HUESABIWA ANA HEKIMA...ILA AZUNGUMZAPO UPUMBAVU WAKE HUDHIHIRIKA"
siyo maneno yangu ni ya BIBLIA TAKATIFU
 
Sijachungulia kwa Issa Michuzi....nae kaweka kitu au anaogopa kuichafua serikali?
 
pole sana dogo......... your life is a total darkness
 
Kawawa aliitwa simba wa vita kwa kuongoza movement za wafanyakazi au wakulima not sure, hakuwa na shule ila Nyerere hakuwa na jinsi ilibidi amacomodate. Old principles ambazo hufanya kazi milele. History is a good teacher
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…