Makame
JF-Expert Member
- Jan 3, 2008
- 512
- 61
hii ni habari ya kweli na imetoka kutangazwa sasa hivi na radio clouds fm.... Serikali dhaifu, madakitari kuweni kitu kimoja mgomo kama kawa hadi kieleweke.
huyu ndio kwanza ana post moja
kwanini mnapenda ku cook mambo?
Au ndio nyinyi mliomdhuru ulimboka alafu mnataka serikali ionekane imefanya uhuni huo???
Serikali sio huni