Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,517
- 1,407
pole sana dr.ulimboka. Naangalia upande wapili wa shilingi ni huu,unaweza kufanya kitu usijue itakuwaje kesho,lakini naamini sana walichofanya serilaki yetu sikivu ni kumpandisha chati zaidi aonekane ni mkombozi wa wanyonge.
kwenye hii muvi ya mgomo wa ma doctor wanyonge ni akina nani? Madokta waliogoma au wagonjwa wanaokufa kwa kukosa huduma?