Wananchi wanakufa kila siku hospitalini ,kila siku iendayo kwa mungu kwa kukosa dawa za kawaida kabisa,vifaa vya upimaji,kucheleweshwa kusafirishwa ,acha ujinga ,think bigjitahidi kujenga hoja acha ushabiki,
ulimboka ni nani awe na thamani kuliko ma elfu ya watanzani wanaoteseka kwa mgomo?
madaktari walipo goma sijaona mtu hata mmoja akiwaita wanyama kwa mateso wanayopata watanzania wasio na hatia kwani wao sio serikali.
mlichofanya nikuendelea kuchochea vurugu