Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

hujui usemalo.... hii ni step ya kuweka tanzania kuwa serious na profeshens


eti profeshens..? bora uandike lugha yetu adhimu ya kiswahili kuliko kuharibu lugha za watu... listen, there are so many ways to skin a cat.. so kama wao walichagua njia ya kutuulia ndugu zetu kuwa ndo sahihi mimi siafiki kabisaaaaaaaa... hata maandamano hawajafanya wamerukia kwenye mgomo baada ya kuona mazungumzo yamegonga mwamba,.. is this fare?

niliwaunga mkono mwanzoni but this time big NO.
 
Hii sio haki hata kidogo, ccm wanawachukia sana watu wanaosema ukweli
 
yaani kweli we king'asti ****** kweli, badala ya kuangalia the whole issue been involved na wakina nani wanafanya unaanza kuongelea maswala ya kuisi isi tuu...****** sana wewe..bila shaka utakua kama ccm wenzako,ambao ni ******* tuu..........
 
Mimi nilichosema nasikitika kwa kutandikwa huyu Daktari. Lakini nilisikitika zaidi kwa mgomo wa Madaktari na kukaidiwa Mahakama. KAMA KUPIGWA ASHAPIGWA, hakuna kushabikia binadamu mwenzako akikutwa na mabaya.

Ila pia, tusishabikie kuvunjwa kwa amri halali ya mahakama na uamuzi wa kuwaacha watanzania wanyonge bila ya huduma; kisa kutunishia misuli Serikali. Hao wanaogoma kumkomoa JK na Pinda; wanafikiri JK au Pinda wakiugua huenda Muhimbili???

TUSISHABIKIE UPUUZI.

Kuna jamaa anauliza wakimpiga ndio mwisho wa Tatizo?

Na mimi nauliza; Kugoma ndio mwisho wa Tatizo?

Tuwe makini katika sentiments


MAHAKAMA NI ZETU

TUZIHESHIMU.

Nashangaa; Mahakama ikimvua Ubunge Lema; inatukanwa, ikisema MNYIKA aendelee na UBUNGE inasifiwa. Ikisema Mgomo wa Madaktari Sio halali inapingwa, ikimtoa Mbunge wa CCM Sumbawanga kule, inaonekana imefanya kazi sawa.

Nani wanaoenda kwe Biasness?????

THINK TWICE
 
Mimi nilichosema nasikitika kwa kutandikwa huyu Daktari. Lakini nilisikitika zaidi kwa mgomo wa Madaktari na kukaidiwa Mahakama. KAMA KUPIGWA ASHAPIGWA, hakuna kushabikia binadamu mwenzako akikutwa na mabaya.

Ila pia, tusishabikie kuvunjwa kwa amri halali ya mahakama na uamuzi wa kuwaacha watanzania wanyonge bila ya huduma; kisa kutunishia misuli Serikali. Hao wanaogoma kumkomoa JK na Pinda; wanafikiri JK au Pinda wakiugua huenda Muhimbili???

TUSISHABIKIE UPUUZI.

Kuna jamaa anauliza wakimpiga ndio mwisho wa Tatizo?

Na mimi nauliza; Kugoma ndio mwisho wa Tatizo?

Tuwe makini katika sentiments


MAHAKAMA NI ZETU

TUZIHESHIMU.

Nashangaa; Mahakama ikimvua Ubunge Lema; inatukanwa, ikisema MNYIKA aendelee na UBUNGE inasifiwa. Ikisema Mgomo wa Madaktari Sio halali inapingwa, ikimtoa Mbunge wa CCM Sumbawanga kule, inaonekana imefanya kazi sawa.

Nani wanaoenda kwe Biasness?????

THINK TWICE
Watu wanapelekwa kwa hisia hisia tu
 
Tusisahau Dr. Ulimboka ana maadui wengi. Ukiacha Serikali (well, watu wachache serikalini), kuna aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya aliyefutwa kazi hivi majuzi. That woman is capable of organizing this. Greedy.

Ni Mh Jakaya Kikwete,Mizengo Kayanda Pinda, othman usalama wa taifa shame upon them
 
eti profeshens..? bora uandike lugha yetu adhimu ya kiswahili kuliko kuharibu lugha za watu... listen, there are so many ways to skin a cat.. so kama wao walichagua njia ya kutuulia ndugu zetu kuwa ndo sahihi mimi siafiki kabisaaaaaaaa... hata maandamano hawajafanya wamerukia kwenye mgomo baada ya kuona mazungumzo yamegonga mwamba,.. is this fare?

niliwaunga mkono mwanzoni but this time big NO.

Wakati mwingine sio lazima kuchangia kitu, just kaa kimya. Tunasoma ili tuishi vizuri, hatusomi tuje kuteseka, madaktari wanajua mazingira ya kazi yao sioni sababu ya wewe kutokwa na mapovu namna hii
 
Swali langu hapa; wanaharakati wa LHRC mmefikaje huko Mabwepande? imekuwaje asiokotwe na wasamaria wema na ikiwezekana madaktari wenzie ndio wawe wa kwanza kumsaidia?

attachment.php
 
Swali langu hapa; wanaharakati wa LHRC mmefikaje huko Mabwepande? imekuwaje asiokotwe na wasamaria wema na ikiwezekana madaktari wenzie ndio wawe wa kwanza kumsaidia?

attachment.php

Walipigiwa simu na polisi usituudhi tafadhali
 
iwe serikali au mtu binafsi ubabe ni lazima kurudisha hali ya kawaida mahospitalini!madaktari wemesomeshwa na hela za wananchi afu wanagoma kuwatibu!madaktari wote waliogoma washughulikiwe kwa kufutwa kazi mara moja, wakajibu kesi mahakamani!wao waigomee serikali na si kugoma kutibu wagonjwa!ukishakubali kusomeshwa na ukawa 'dokita'kutibu ni lazima
mkweche ningekuwa president mkweche,kiongozi wa mgomo ningemchapa viboko mwenyewe!chezea kila kitu ila si uhai wa wananchi!wagoma wakati hata deni la kuwasomesha hawajalilipa!
Mkweche nimewachoka wagomaji!hata kama dawa hakuna mahospitali ila asikosekane mtu wa kutuelekeza tukanunue dawa madukani!nala buk!

Wewe sidhani hata elimu ulionayo inakusaidia kitu, kaa kimya.
 
Ndugu wananchi, IKULU si mahali pa pango la walanguzi ikulu si mchoze Ikulu ni mzigooo!! JK amekaa 25 yrs IKULU anashanga leo hii watu wanatamani IKULU kama nini vile sijui, sasa hawa walio enda IKULU kwa kweli hawajui walitendalo kabisa.

Watu mwakimbilia ikulu kwenda kutoa order ya kuuwa watutu raia kweliiiiiii hii ni aibu gani? wamuuua mtanznia mwenzeka kwa sababu ya tu kudai haki na amekushinda mbinu za kukudai na huwezi hata kujibu hoja na unaona ni bora umtoe roho aibu kani hiiii IKULU
 
Walipigiwa simu na polisi usituudhi tafadhali

Polisi wameshindwa kumpeleka majeruhi hospitali mpaka wapigie simu LHRC??????

To this we have to get a statement from LHRC; watuambie ilikuwaje, sio reported speeches zinazoletwa hapa.

LHRC MPO???
 
Mahakama imesema mgomo usitishwe na viongozi wa mgomo watangaze kwenye vyombo vya habari watangaze kuwa hakuna mgomo mpaka jambo hili litapomalizwa kusikilizwa na mahakama.

Mwacheni akafundwe adabu huyo mzandik na muuaji wa wagonjwa wetu na watoto zetu wanaoumwa mahospitalini. Na sasa itabidi apewe adabu aseme ni nani wako nyuma yake wakimshindilia kuwa mkaidi.

Tutawajuwa na kila mmoja atachukuliwa hatua na kupewa adhabu kali sana na kama sheria hazina adhabu kali, basi tutatunga sheria ya "dharura" yenye adhabu kali sana iwe fundisho kwake na kwa wengine.

hakuna post wala comment yeyote yenye umaana katika historia toka uje JF, tunajua ulikuwa product ya school dropout, so si matatizo yako.. ukikua utaacha.
 
Pamoja na masikitiko yangu makubwa kwa lilchotokea kwa Dr Ulimboka ningepanda kabla sijachangia vema nijue chanzo gani kilichowafikisha hawa ndg zangu LHRC mabwepande. Kwa sasa niseme tuu -- kama serikali kwa kutumia usalama wa taifa au wengineo ndiyo inayohusika basi conclusively haistahili hat kidogo kuendelea kuwepo madarakani.


Hali kama haina tofauti na iliyowahi kutokea kwa akina Thom Mboya na Ouko huku kenya miaka kadhaa iliyopita. Hawa kama watu wengi mnavyoweza kukukmbua ni watu walioweza kusimamia haki hadharani bila kuogoap lolote na wakiwa wakamata madaraka makubwa ndani ya serikali ya Kenya. Hali kama hii ikachwa ikakomaa katika nchi yetu hata ufisadi ambao umekuwa ukuitisa nchi hii utokomaa kwa kiwango ambacho hatutaweza kuhimili amani tena.


Yaliyowahi kutokea kwa Kubeneye, Mwakyembe na Njama za kumtegeshea madawa Abdiel Mengi na sasa Daktari wetu kiongozi Ulimboka tukikaa kimya yataendela bila kukoma na wale ambao walitarajiwa wawe mfano wa kulinda amani ndio wanaotumika kuangamiza amani kwa maslahi yao.

Nitakoposikia kutoka kwa LHRC nitachangia yaliyoko moyoni.


TUSHIKAMANE MPAKA KIELEWEKE
 
Wakati mwingine sio lazima kuchangia kitu, just kaa kimya. Tunasoma ili tuishi vizuri, hatusomi tuje kuteseka, madaktari wanajua mazingira ya kazi yao sioni sababu ya wewe kutokwa na mapovu namna hii

Subiri siku mamako akufie mikononi mwako pale mpokezi muhimbili huku Ulimboka na wenzake wako pembeni wanakuchekea chekea etu wamegoma ndio utajua watu wanazungumza nini pia utasema kile kipigo hakikumtosha..
 
eti profeshens..? bora uandike lugha yetu adhimu ya kiswahili kuliko kuharibu lugha za watu... listen, there are so many ways to skin a cat.. so kama wao walichagua njia ya kutuulia ndugu zetu kuwa ndo sahihi mimi siafiki kabisaaaaaaaa... hata maandamano hawajafanya wamerukia kwenye mgomo baada ya kuona mazungumzo yamegonga mwamba,.. is this fare?

niliwaunga mkono mwanzoni but this time big NO.


No. This is not FARE. This is FAIR.
 
Waungwana tunatoa pole na kumwombea uponaji wa haraka. Hayo mengine ni ya NGOSWE..
 
Back
Top Bottom