Kaka Sam
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 540
- 78
hujui usemalo.... hii ni step ya kuweka tanzania kuwa serious na profeshens
eti profeshens..? bora uandike lugha yetu adhimu ya kiswahili kuliko kuharibu lugha za watu... listen, there are so many ways to skin a cat.. so kama wao walichagua njia ya kutuulia ndugu zetu kuwa ndo sahihi mimi siafiki kabisaaaaaaaa... hata maandamano hawajafanya wamerukia kwenye mgomo baada ya kuona mazungumzo yamegonga mwamba,.. is this fare?
niliwaunga mkono mwanzoni but this time big NO.