Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 266
Duhu. Kumbe jamaa wa kujirusha? unapopambana unatakiwa sehemu za starehe uzikmbieKamanda wa polisi suleman Kova anekaririwa akisema kwamba Dr ulimboka ametekwa akiwa Club na watu wasiojulikana akiwa anakunywa kinywaji na kuahidi kwamba uchunguzi unaendelea kuhusiana na tukio hilo.


