Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Member Array Join Date : 24th June 2012 Posts : 28 Rep Power : 306 Likes Received 2 Pole Pole dada... semea nafsi yako na waliokutuma!! wengi mnawaua na mtawaua kutokana na upofu mliopatilizwa ili muendelee kutawala.... Mnasahau kuwa Watanzania waleo wameamka wanajua kinachoendelea.... kabla ya kuja kubwabwaja hapa ebu jiulize...Wangapi wamekufa kwa kukosa ambullance? wangapi wamekufa kutokana na umasikini ufukara wakusababishiwa na Serikali ya CCM wakati nchi yetu imesheheni rasilimali kibao? wangapi walifariki kwenye mabomu ya mbagala na gongolamboto eti kwa sababu tu mlikuwa mnaficha siri za ufisadi uliotumika kununulia silaha!?? wangapi mmewaua migodini eti mnatetea wawekezaji? Madaktari wasihusishwe na vifo vya watanzania kwa njia yoyote kwani lengo lao ni kutaka serikali iboreshe huduma za afya kwa kununua vitendea kazi za kisasa, wagonjwa kupatiwa malazi stahiki... ona akinamama wanavyo lala sakafuni, wengi wanafariki kwa kupata maambukizi wakiwa mahospitalini.... Inakeraaa..... grrrrr.....Mods tuachieni kidogo tu tuwanyooshe hawa watumwa wanafki waathirika wa bongo zao .... ....Namuombea Dr Ulimboka apone haraka Inshaallah...
Pole Pole Mama....Unayosema hayahalalishi vifo vya wananchi wasio na hatia..unataka tusiwahusishe madaktari kivipi ? Na wewe pia semea Nafsi yako na waliokutuma....Povu linakutoka hadi unaomba msaada kwa Mods ?Jikaze mtoto wa kike !!! Mngekuja kuwaka Kama siku ile wananchi walivyokufa kwa mgomo tungewaelewa...Huyu ulimboka ni bora kuliko wale waliopoteza roho zao katika mgomo ?..watolee povu wananchi wa kawaida pia ! sio akinya bata unakuja kutoa povu hapa JF akinya kuku unapotezea!
 
Mimi nilichosema nasikitika kwa kutandikwa huyu Daktari. Lakini nilisikitika zaidi kwa mgomo wa Madaktari na kukaidiwa Mahakama. KAMA KUPIGWA ASHAPIGWA, hakuna kushabikia binadamu mwenzako akikutwa na mabaya.

Ila pia, tusishabikie kuvunjwa kwa amri halali ya mahakama na uamuzi wa kuwaacha watanzania wanyonge bila ya huduma; kisa kutunishia misuli Serikali. Hao wanaogoma kumkomoa JK na Pinda; wanafikiri JK au Pinda wakiugua huenda Muhimbili???

TUSISHABIKIE UPUUZI.

Kuna jamaa anauliza wakimpiga ndio mwisho wa Tatizo?

Na mimi nauliza; Kugoma ndio mwisho wa Tatizo?

Tuwe makini katika sentiments


MAHAKAMA NI ZETU

TUZIHESHIMU.

Nashangaa; Mahakama ikimvua Ubunge Lema; inatukanwa, ikisema MNYIKA aendelee na UBUNGE inasifiwa. Ikisema Mgomo wa Madaktari Sio halali inapingwa, ikimtoa Mbunge wa CCM Sumbawanga kule, inaonekana imefanya kazi sawa.

Nani wanaoenda kwe Biasness?????

THINK TWICE

Mahakama ni za serikali kama ni zetu zisingefanya upuuzi walioufanya arusha
 
Ndio maamuzi mabovu ya serikali. Bado walimu na kitawaka tu.

Kwa kumjeruhi Ulimboka hii serikali ya magamba sasa haina credibility; hata hiyo kesho Pinda akitamka luwa madaktari waliogoma wamefukuzwa kazi hiyo ndio itakuwa mwisho wa huduma za hospitali Tamzania!!
 
Mods na viongozi wa JF ningependekeza heading ya huu uzi ibadilishwe kidogo kutoka "Kiongozi wa mgomo wa madaktari........" mpaka "kiongozi wa madaktari.......". Ni ombi tu kwenu.
 
Usiwe punguani wewe, kaa ufikiri japo kidogo:

Haiingii akilini kwa binaadam yeyote mwenye fikra japo kidogo, eti Serikali wakuchukuwe, wakupige, wakutupe Mabwepande halafu waje haki za binaadam kukuota.
Huyo asidanganye watu eti daktari atakuchoma sindano!!Hivi unafahamu kuwa daktari wa Tanzania wengi hawajui kuchoma sindano?Manesi ndio wanaochoma sindano,daktari wa nchi hii kazi yake ni kuandika dawa ukiacha wale mabingwa wanaofanyabupasuaji
 
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"]Breaking news😀k Ulimboka aokotwa porini akiwa taaban[/TD]
[TD="class: buttonheading, align: right"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"]Wednesday, 27 June 2012 12:37[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]

00000000dkuli.jpg
Dk Ulimboka​

Mwenyekiti wa Jumuiya ya madaktari nchini, Dk Stephen Ulimboka amelazwa katika hospital ya Taifa ya Muhimbili baada ya kuokotwa katika pori la Pande nje kidogo ya jiji akiwa taaban.Inasemekana Dk Ulimboka alitekwa jana na watu wasiojulikana.

Kwa taarifa zaidi ungana nasi baadaye

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Hii Nchi inaongozwa Ki Dickteta Hakuna haki za Kibinadamu hapo Kwetu Tanzania Serikali inaongoza kimabavu.

Breaking news😀k Ulimboka aokotwa porini akiwa taaban
 
pinda kaanza vitisho vyake tena anasema kesho serikali inatoa tamko eti liwalo na liwe
 
sasa hapa nani kafanya vizuri? ndani ya umaskini wote huu na ufisadi unaoulalamikia kila siku kuna mtu anafanya vizuri? ni nani huyo?

Umaskini na ufisadi wa Tanzania wewe hujauona, umeshakaa foleni ya unga wa ugali wewe? umesha makata mbuga? umeshakoga na arita? umeshatumia pipi mbadala wa sukari? umesha kata chupa za bia na kuzifanya glasi?

Kama hujapitia yote hayo Tanzania hii, basi kaa kimya huujui ufisadi wewe.
 
serikali imeonyesha jinsi inavyofail kwa kila kitu inachofanya, hat kumuua imeshindwa!, Dr. wa ukweli pona haraka uweke mambo hadharani, tutawatafuta hata kwa nanati mazafaka
 
Poleni wananchi kwa kukosa matibabu na pole Doctor Ulimboka kwa yaliyokukuta. Mimi naamini Dr uko katika kundi la kutetea waTanzania maskini ambao hawawezi kuthubutu kusimama na kujitetea wao wenyewe. Tunachosahau waTanzania ni kwamba kuwepo kwa DRs wasio na motivation kuna risk kubwa sana pia. Kwa madaktari kutumia njia ya mgomo yaweza kuwa sio sahihi kama kuna njia nyingine muafaka ambazo hazitahitaji mgomo. Je zilikuwepo? The issue ni kwamba Serikali imeshindwa na haina mbinu mbadala za kupunguza matumizi na kuepuka utegemezi (watatoa wapi sasa pesa ya kufund Muhimbili na sector ya Afya kiujumla). Nilitegemea Serikali makini ingempa ulimboka ulinzi maana amevuta interest za makundi mengi lolote lingetabiriwa kumtokea. Sasa watakwepa vipi lawama hizi. Sema msemavyo lakini ni jukumu la Serikali kulinda watu wake hata wale ambao waikosoa waziwazi (maana wengi wanaikosoa kupitia mitandao na kwa kujifichaficha). Naamini walijua ulimboka wamemuua, je akipona na kutoa ushahidi na Serikali ikaonekana kuhusika itakuwaje. Actually Tanzania especially Dar is not a safe place to be, kuna watu wengi sana wanavamiwa na kuuliwa (ukijenga kajumba na kagari huko nje ya mji kaa chonjo hakuna serikali huko na hakuna vyombo vya habari either). Inauma sana kuuwa imekuwa kitu cha kawaida sasa. Mungu tusaidie
 
jaman watanzania inabidi 2fanye mapinduzi,DR ni miongoni mwa wazalendo wa chache wanao hatarisha maisha yao kwaajiliya taifa lake so he need support from us
 
Jamani waliomteka watajulikana tu ukweli hauwezi jificha ata kidogo tusiseme vibaya serikali naona chadema mmeanza kufanya siasa si vizuri ata kidogo,kama ndivyo kwa nini wasitekwe viongozi wa chadema kwa maneno yao ya uongo na kupotosha umma?tafadhari tusinyooshe kidole kwa serikali tusubiri polisi ifanye kazi kama alivyohaidi kamanda kova tutajua mbivu na Mbichi vinginevyo si sahihi ata kidogo!
 
Dah....................... pole sana kaka. MUNGU atakuponya tambua tu kuwa watanzania wengi tuko pamoja nawe.

Hivi watanzania tumerogwa na nani?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Pole Pole Mama....Unayosema hayahalalishi vifo vya wananchi wasio na hatia..unataka tusiwahusishe madaktari kivipi ? Na wewe pia semea Nafsi yako na waliokutuma....Povu linakutoka hadi unaomba msaada kwa Mods ?Jikaze mtoto wa kike !!! Mngekuja kuwaka Kama siku ile wananchi walivyokufa kwa mgomo tungewaelewa...Huyu ulimboka ni bora kuliko wale waliopoteza roho zao katika mgomo ?..watolee povu wananchi wa kawaida pia ! sio akinya bata unakuja kutoa povu hapa JF akinya kuku unapotezea!
Hivi ndugu yangu unafahamu watanzania wangapi wanakufa kwa kukosa dawa hospitalini? Hivi unaelewa kuwa moja ya madai ya Ully ni kuboreshwa kwa hali za matibabu mahospitalini? Wewe ukienda hospitali leo, ya kawaida ambayo watz wengi wanaenda, unategemea kupata dawa kweli wewe? Say una malaria, utapata dawa stahiki? Mungu akuongoze uuone ukweli.
 
Jamani waliomteka watajulikana tu ukweli hauwezi jificha ata kidogo tusiseme vibaya serikali naona chadema mmeanza kufanya siasa si vizuri ata kidogo,kama ndivyo kwa nini wasitekwe viongozi wa chadema kwa maneno yao ya uongo na kupotosha umma?tafadhari tusinyooshe kidole kwa serikali tusubiri polisi ifanye kazi kama alivyohaidi kamanda kova tutajua mbivu na Mbichi vinginevyo si sahihi ata kidogo!

Tuisubiri Polisi waliomteka, wakampiga, wakamjeruhi, na kudhani wamemuua baada ya mateso makali wachunguze?

You are not serious, yaani ilichofanya serikali, hata my 5 year old child ambaye aliekua anafuatiliua huu mkasa wa madaktari na serikali amesema hii itakuwa ni wale watu wanaomtaka aache kugoma na yeye amekataa (akimaanisha serikali).

Serikali wamefanya hiki kitendo, na bahati mbaya kwao walio na shetani Mungu wetu amempigania, walipomwacha wakijua amekufa, sasa itakula kwa serikali maana ukweli utajulikana hata ikitulazimu kuingia vitani, LIWALO NA LIWE (By Pinda)

Nimeichukia hii serikali leo, siwezi kufananisha na chochote. Ni ya kipuuzi sana
 
Pole Pole Mama....Unayosema hayahalalishi vifo vya wananchi wasio na hatia..unataka tusiwahusishe madaktari kivipi ? Na wewe pia semea Nafsi yako na waliokutuma....Povu linakutoka hadi unaomba msaada kwa Mods ?Jikaze mtoto wa kike !!! Mngekuja kuwaka Kama siku ile wananchi walivyokufa kwa mgomo tungewaelewa...Huyu ulimboka ni bora kuliko wale waliopoteza roho zao katika mgomo ?..watolee povu wananchi wa kawaida pia ! sio akinya bata unakuja kutoa povu hapa JF akinya kuku unapotezea!

Dada Mgawatigo kweli unapenda kukilimbitwa! Yaani wewe huoni Watanzania wanavyo uawa kila kukicha migodini? Huoni mauji yanayofanywa na kuratibiwa na serikali ya CCM kwenye chaguzi ndogo za Igunga, Arumeru? Kisharuala kinakuwasha kwenye masaburi mpaka husikii wala huoni mauaji yanayoendelea kule nyamongo? Akili yako ya kubebewa na mabasha wanaokupumulia kisogoni inakufanya usione viwanda vilivyofisadiwa na CCM wananchi wakakosa ajiri hatimae wakafariki kwa ufukara.. Huoni wala haujasikia kuwa CCM walimua Baba wataifa ili waweze kutoroshea fedha zetu kwa mabasha wenu? Dada Mgawatigo Pls fungua macho na masiko yako acha kufikiri kwa kutumia masaburi, CCM wametusababishia ajali ngapi za barabarini kutokana na miundo mbinu mibovu? CCM inanuka damu!! Tanzania haipaswi kuwa maskini mafukara Da Mgawatigo! Ona Botswana wanavoajiri madaktari kutoka ktk kila kona ya dunia na wanawalipa vizuri kutokana na mapato ya madini yao!!! Umefirigiswaa na sasa huoni unatetea mabasha zako hata kwenye mauji ya Watanzania wazalendo!!!

Anyway...Uchunguzi wa kina ukifanyika nina uhakika 100% waliotaka kumua Dr Ulimboka watakuwa kikosi kazi cha Green Guard! Usalama wa Taifa hawawezi kamwe kufanya ujinga kama huo !!!
 
Back
Top Bottom