ORCA ACE
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 1,449
- 1,708
Waangalizi wengi si waliponda uganganyifu mkubwa ktk uo uchaguzi??
Hahahaha, kwamba Tanzania nchi ya Africa ambako wamarekani hawategemei kuwa ni mfano katika demokrasia lakini kuna nchi ambayo imeizidi USA ambaye ni baba wa demokrasia hapa duniani katika kufanya uchaguzi bora kabisa kwa kuruhusu waangalizi