Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Halafu kabla jua halijazama, mtasema ni mashoga na mabeberu... propaganda kazi kweli. Haya mpishi wa Magufuli ni kiongozi mkuu Tanzania.
Tabibu wa rais wa nchi si mtu mdogo bro,hapo uelewe atokua na elimu ya kuunga unga hadi alipofikia,binafsi hata mpishi tu wa rais siwezi kumdharau kama wewe ulivyomchukulia poa mwanasheria wa trump