ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anarudia mshahara wake wa awali aliokuwa anapata kabla ya uteuziHata akitumbuliwa bado mshahara wake upo
Mshahara haushuki ati na ndo maana CAG alisema kuna watu wengi wanalipwa mishahara ya DEDAnarudia mshahara wake wa awali aliokuwa anapata kabla ya uteuzi
Kweli mwenge omba tu upite salama viongozi wa serikali wanajua ukibananishwa na mwenge ugali umeukosaWanasema vitu hivi naweza mfukuzusha mtumishi wa umma kazi;
1. Mwenge wa Uhuru
2. Uchaguzi Mkuu
3. Mitihani ya kitaifa
Ni wa maana hasa kwa wakati huo maana jinsi ya kumpata mchakato wake umejaa mambo ambayo hata kuyatafsiri huweziKiongozi wa mbio za mwenge anajikuta wa maana sana
Anafukuzwa kazi kabisa kwenye utumishi wa umma hata mawakili wa kumtetea wanamkimbia sijui kuna nini kwenye Mwenge chezea pesa za Umma ila ukilaumiwa na watu wa Mwenge daaah.Anarudia mshahara wake wa awali aliokuwa anapata kabla ya uteuzi
4.Msafara wa viongoziWanasema vitu hivi naweza mfukuzusha mtumishi wa umma kazi;
1. Mwenge wa Uhuru
2. Uchaguzi Mkuu
3. Mitihani ya kitaifa
Hutazielewa mpaka ule kiapo cha kutunza siriBinafsi mbio hizi za kukimbiza mioto huwa sizielewi na sizikubali. Nadhani ni moja ya mambo yanayotufanya tuwe masikini wakati tuna rasilimali nyiiingi.
Angalia sasa tunashindwa hata kuendesha bandari zetu, kuchimba madini yetu au kusimamia mbuga zetu, yaaani ...
YESU NI KRISTO
Abdallah Shaibu "Ninja"!! Ni Mzenji huyo.Samahani.
Huyo shaibu kiongozi wa mwenge Ni mzanzibari?
I rest my case.
Ibada za sanamu hizoBinafsi mbio hizi za kukimbiza mioto huwa sizielewi na sizikubali. Nadhani ni moja ya mambo yanayotufanya tuwe masikini wakati tuna rasilimali nyiiingi.
Angalia sasa tunashindwa hata kuendesha bandari zetu, kuchimba madini yetu au kusimamia mbuga zetu, yaaani ...
YESU NI KRISTO