Kiongozi wa Mbio za Mwenge amemuomba Rais Samia kumchukulia hatua Mkurugenzi wa Wilaya ya Rorya

Kiongozi wa Mbio za Mwenge amemuomba Rais Samia kumchukulia hatua Mkurugenzi wa Wilaya ya Rorya

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Abdallah Shaibu, amemuomba Rais Samia kumchukulia hatua za kinidhamu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya kwa kushindwa kutoa ushirikiano wakati wa ukaguzi wa nyaraka za miradi waliyoihitaji huku akidaiwa kutoa lugha zisizo rafiki kwa wakimbiza Mwenge wa Uhuru

View attachment 2682377
Huu ujinga utaachwa lini? Hilo dude liwekwe makumbusho tuendelee kufanya vitu vya maana. Upotevu wa kodi za wananchi tu!!!
 
Hivi uwe mwenge si upigwe bei kwa dp world hizi tabu tupu walimu hawana raha na mwenge mara waambiwe washone.mashati ya vitenge tena kwa lazima
kuna mkuu wa Idara katika moja ya Halmshauri alijifanya Mjuaji …wenzie siku ya Mwenge wote wamepiga Sare sare za kijani kibichi Kitenge cha wax wake kwa waume yeye akajiona Mtoto wa Mjini akapewa sare yake ya Shati la kijani kibichi akaligawa pale pale kwa Watumishi wa kada za chini akaibuka kwny kupokea Mwenge na Jezi lake la Arsenal la Emirates

baada ya Mwenge likasukwa fitna likasukika wakamla kichwa kwa kuhujumu Mwenge tena kwa ushahidi eti walimkabidhi Sare akaikebehi na kuitupa hadharani na kesho yake akafedhehesha Halmashauri kwa kuhudhuria tukio la Kitaifa kwa mavazi yasiyo na staha huku akijua ni kinyume cha utaratibu na maadili ya Utumishi wa Umma
 
Katika maisha yako yote usicheze na ivi vitu vitatu moja uchaguzi,mwenge wa uhuru na mitihani ya taifa vitakutoa roho ivi vitu maana vinatumia garama kubwa sana

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hao wakimbiza wana taaluma ya kukagua wanachotaka kukagua mf.Taratibu za Manunuzi, fedha au za utaalam wa mradi husika ?

mnawachosha Wakurugenzi

hapo utakuta tayari CAG, Takukukuru, LAAC, Chama mkoa, Internal Audit ya Tamisemi, ofisi ya RAS, Baraza la Madiwani wote wameshapita kukagua na kumchomoa Pesa Mkurugenzi

We ushawahi kusikia bajeti au ukaguzi wa fedha zinazotumika kwny Mwenge?
Budget ya Mwenge haikaguliwi Kwasababu ni pesanza kuomba omba na haziwekwi kwenye account rasmi.

Siku zote serikali inakagua pesa wanazotoa wao.
 
kuna mkuu wa Idara katika moja ya Halmshauri alijifanya Mjuaji …wenzie siku ya Mwenge wote wamepiga Sare sare za kijani kibichi Kitenge cha wax wake kwa waume yeye akajiona Mtoto wa Mjini akapewa sare yake ya Shati la kijani kibichi akaligawa pale pale kwa Watumishi wa kada za chini akaibuka kwny kupokea Mwenge na Jezi lake la Arsenal la Emirates

baada ya Mwenge likasukwa fitna likasukika wakamla kichwa kwa kuhujumu Mwenge tena kwa ushahidi eti walimkabidhi Sare akaikebehi na kuitupa hadharani na kesho yake akafedhehesha Halmashauri kwa kuhudhuria tukio la Kitaifa kwa mavazi yasiyo na staha huku akijua ni kinyume cha utaratibu na maadili ya Utumishi wa Umma
Vijana wa Mwenge ni vijana wa ofisi ya Rais … ukilijua hilo huumizi kichwa
 
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Abdallah Shaibu, amemuomba Rais Samia kumchukulia hatua za kinidhamu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya kwa kushindwa kutoa ushirikiano wakati wa ukaguzi wa nyaraka za miradi waliyoihitaji huku akidaiwa kutoa lugha zisizo rafiki kwa wakimbiza Mwenge wa Uhuru

View attachment 2682377
Mwenge ni kazi ya shetani
 
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Abdallah Shaibu, amemuomba Rais Samia kumchukulia hatua za kinidhamu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya kwa kushindwa kutoa ushirikiano wakati wa ukaguzi wa nyaraka za miradi waliyoihitaji huku akidaiwa kutoa lugha zisizo rafiki kwa wakimbiza Mwenge wa Uhuru

View attachment 2682377
Mwenge ni kazi ya shetani inayoachilia laana kwa nchi yetu. Tuupige vita mwenge
 
Afungwe kabisa Huyo hayawani ndio wanaosumbua walimu wachangie Mwenge nyoko zake
 
kukimbiza moto ni ushirikina, which is satanic, zama rohoni utayajua hayo. sasa mwenge una faida gani kwa Taifa. kama ni kuzindua na kukagua miradi, tuna wakuu wa wilaya, mikoa, mawaziri na manaibu wao wanalipwa kwa kodi za mvuja jasho wa kitanzania wao wana kazi gani washindwe kufanya hayo majukumu ya wakimbiza mwenge?

mwl Nyerere alikuwa mpenda uchawi sana na ndiye aliyeingia mkataba na kuzimu juu ya ukimbizaji huu wa mioto. ni nchi gani nyingine duniani yenye huu ujinga. tunapoutaja umasikini wa Tz lazima Nyerere ahusike! lazima.


JESUS IS LORD
 
Back
Top Bottom