kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Hongera DED umejitambua mwenge ni kupumbaza watanzania ,huyu mkurugenzi nitamtafuta nimpe zawadi zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkurugenzi analiwa Kichwa, kampe pole.Hongera DED umejitambua mwenge ni kupumbaza watanzania ,huyu mkurugenzi nitamtafuta nimpe zawadi zake
yupo utumwani Sasa atatumia akili yake badala ya kibatali hikiMkurugenzi analiwa Kichwa, kampe pole.
Acha kutsha watuAnafukuzwa kazi kabisa kwenye utumishi wa umma hata mawakili wa kumtetea wanamkimbia sijui kuna nini kwenye Mwenge chezea pesa za Umma ila ukilaumiwa na watu wa Mwenge daaah.
Kinarembua rembua macho balaa.Hiki kidudu kinaongea kama kishoga
kawaulize dp worldSerikali haijapata Mwekezaji wa "Mwenge wa Uhuru"?
Tayari Waarabu wa Yemen na Qatar walishaomba hiyo tenda muda sanaSerikali haijapata Mwekezaji wa "Mwenge wa Uhuru"?
mi kama mkandarasi sitaki zabuni za serikali, ni usumbufu na michosho mitupu, kila mlafi anataka alambe, bado kuna wadokozi, ni shughuli pevu kwa kweliHao wakimbiza wana taaluma ya kukagua wanachotaka kukagua mf.Taratibu za Manunuzi, fedha au za utaalam wa mradi husika ?
mnawachosha Wakurugenzi
hapo utakuta tayari CAG, Takukukuru, LAAC, Chama mkoa, Internal Audit ya Tamisemi, ofisi ya RAS, Baraza la Madiwani wote wameshapita kukagua na kumchomoa Pesa Mkurugenzi
We ushawahi kusikia bajeti au ukaguzi wa fedha zinazotumika kwny Mwenge?
Akipatikana atakayekubali kuuondoa nchini apewe bilioni kumi ya Asante. Atakuwa ametusaidia pakubwa sana.Serikali haijapata Mwekezaji wa "Mwenge wa Uhuru"?
Wapewe bure.Tayari Waarabu wa Yemen na Qatar walishaomba hiyo tenda muda sana
CCM katika ubora wakeMkimbiza mwenge hajui kuwa Kupata kazi ya Ukurugenzi wa Halmshauri lazima uwe na connection kali kuliko ya kuwa Mkimbiza Mwenge
hadi unaona DED anakuwa na kiburi pengine Mkandarasi wa nyuma ya pazia wa hiyo Miradi ndio anaeidhinisha bajeti ya Mwenge kitaifa na kuchagua nani awemo kwny Mwenge marathon na nani asiwepo
Mgeni aje amtie adabu mwenyeji kwenye ardhi yake?Abdallah Shaibu "Ninja"!! Ni Mzenji huyo.
KisiraniNongwa