Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Kiongozi mkuu wa Serikali ya watu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayeiwakilisha serikali ya watu wa Tanzania akipokea tuzo ya Bingwa wa vichekesho (Champion of comedy).Hongera serikali, Hongera Mheshimiwa kuwa Bingwa wa vichekesho.Tuendelee kucheka kwa pamoja!
Modes naomba uzi huu usiunganishwe na uzi mwingine kwa sababu unahusiana na kampeni za uchaguzi 2025 'PreGE2025' Ndiyo maana nimetaja 'Mgombea CCM'
Modes naomba uzi huu usiunganishwe na uzi mwingine kwa sababu unahusiana na kampeni za uchaguzi 2025 'PreGE2025' Ndiyo maana nimetaja 'Mgombea CCM'