Kiongozi wa team kiba instagram akamatwa, anaejiita shilolekiuono

majungu at work...!unamjua duller square...?!

zarinah soldier...?

zarimond platinum?!!

coffee table...?!!
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] double std...

kumbe wewe ni team Fulani!!

siungi mkono matusi!
Bila kumsahau kabikira wa ifm

Wana matusi ya 2017
 
nimesoma na kuelewa vzr nimeona dhahiri ulivyo na double std...!!

ww ni timu diamond ukubali ukatae...!

tena nyie ndo team panic at work sema watu hawana time n nyie tu!

always negativity abt about ally kiba...never appreciate his work ht hongera..
!!

pole lakini kwa kukuambia ukweli[emoji23] [emoji23] [emoji23] na ukaingia kwa moyoo!!!

muambie duller aache matusi!
 
Apunguze chuki naye dai kafanikiwa sasa kinacho mfanya ahangaike na kiba ni nin? Mara ommy dimpoz Mara kile
Hivi ushawahi kumsikia mond akimpiga majungu msanii yyt wa bongo juzi tu ommy katupa jiwe gizani kwa mond kuwa ana mchezo wa kununua view mara ananunua tuzo mbona huwa hana time nao.....naunga hoja ya mchangiaji mmoja aliyesema team kiba weng wenu mna mental problems
 
Soko la muziki ni kubwa lakini full figisu figisu
 
Mchumba leo una hasira sana.. Nini shida?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…