Kiongozi wa team kiba instagram akamatwa, anaejiita shilolekiuono

Milion saba si mtaji kabisa huo aisee naishukuru serikali ya anko magu kuruhusu sheria ya mitandaoni ni wakati wa kukamatia fursa nikitukanwa tu na report wakinitukana watano tu nishatajirika M7times five nakua na m35 safiii tutaheshimiana tu mjini hapa nitukane unilipe [emoji135][emoji135]
 
Dah yani Ommy kaumbuka kweli yani wakumfanyia Mondi hivi kweli ukaribu walliokuaga nao? Mwenzie anatukaniwa mamaake mtoto wake anaafurahia hata kama Wana ugomvi looh! kweli wivu mbaya!
 
dah! huyo dogo alizidisha matusi acha Scopion akamshughulikie kidogo sege dansi
 
Dah yani Ommy kaumbuka kweli yani wakumfanyia Mondi hivi kweli ukaribu walliokuaga nao? Mwenzie anatukaniwa mamaake mtoto wake anaafurahia hata kama Wana ugomvi looh! kweli wivu mbaya!
Wasanii wote hawapendani so kwa ommy haishangazi hata dai vile vile sema tu watizii twapenda unafiki. Hizi account zimeendekezwa na wasanii wenyewe diamond kamu unfollow duller square na account nyingine zilizokuwa zinatukana. Wakianza kukamatwa mmoja baada ya mwingine watanyooka. Wengi wenye account za kutukana hawana mbele wala nyuma na life limewashinda
 
dah! huyo dogo alizidisha matusi acha Scopion akamshughulikie kidogo sege dansi
Hafu police wamekanusha kumkamata huyo mtu, hafu imefunguliwa account nyingine ka hyo inatukana tu hivi huo mda huwa wanaupata wapi wakutukana hivo cha ajabu hzo account zinapataga followers wengi tu
 
Hili ni fundisho kwa wanaotumia mitandao ya kijamii kutukana watu wasiowajua!
 
Yani hii sheria ya habari inatakiwa ianze na wee kwanza na akina Lemutuz wako
Hivi we kwa akili yako unafikiri SUZAN KAGANDA atasema kwamba shilolekiuno wamemkamata?!

Planetbongo wamekurupuka..walitakiwa wamuulizie kwa jina lake la kwenye cheti na sio jina la shilolekiuno,hilo sio jina la kiserikali lazima Suzan akatae...

Halafu angekubali wangeleta Jam pale kituoni
 
Wasanii wapuuzi sana wanashidwa kuwakemea nahisi wanaogopa kupoteza followers.Hasa mtu kama Kiba hamfollw mtu yoyote Lakini watu mishipa ya shingo inawasimama kutukana kwa sababu yake.
 
Kumbe huyo ndo kiongozi wetu Team Kiba
 
Team Kiba wanakuwaga na matusi halafu wana panic sana, hata humu jf wako hivo hivo.

NB
Niko tim Tanzania
majungu at work...!unamjua duller square...?!

zarinah soldier...?

zarimond platinum?!!

coffee table...?!!
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] double std...

kumbe wewe ni team Fulani!!

siungi mkono matusi!
 
Kwanini yule wa team domo hakamatwi??? Dullaskwea????
hapo ndo ukiyaka kujua salaam SK alikua na beef zake

yasemekana wanamlazimisha aseme kua alikua analipwa na kiba ili amharibie jina..

kuna watu wana roho mbaya katuzo kamtv kamoja tu fitna zimeanza angepata NNE ...je?

sasa hapa ndo nimeamini kweli sallaaam ni mtu wa figisufigisu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…