permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Wasaliti Kama hao ndio dawa yao hiyo,huku tunao kina Zito na lisu tunawachekea tu halafu wanasema hawana uhuru
Ninachojua mimi,utawala wa mtu mmoja muda mrefu haujawahi kuisha vizuri,kuna siku watu watakuchoka tu regardless umefanya mangapi..Just taste yako ikiisha lazima kinuke,ni suala la muda tu.Hatari sana. Na hii yote ni kwa sababu ya kumpinga Putin kujiongezea miaka kibao ya kutawala.
Putin ameishafanya yake,
Bora Putin anawatuliza wapinzani wake ambao wanaungwa mkono na Nchi za magharibi,ambao wanaweza kutumika kuihujumu Urusi kama ilivyotokea Kwa Boris Yeltsin,sasa hapa bongo,Mkazi wa magogoni,anauwa wapinzani ili abaki madarakani,sio kwa ajiri ya kuikuza nchi kama anavyofanya Putin,huyu anaua ili ale na kikundi chake,kabila lake,basi,
Hio haiachi mtu salama, na mara nyingi hugundulika wakati wa postmortem wakati uhusika keshakaribishwa na malaika huko in other side of lifePolonium 210.. 😀 😀
Wataka kuniambia hakuna missions ambazo hizo units zjnafail?Huyu bado anaonywa tu, FSB kabisa wakufate mara mbili zote unachomoka! Kuna vikosi dunia hii vikikuhitaji hata uwe na roho saba ni mapema sana kwako wanaanza kutafuta maturubai
Nawe unayabariki hayo ya wapinzani kuuliwa?Hata chadema mshukuru mpo kwenye nchi ya Aman Zaid dunian mngekua nchi za viongozi ambao hawacheki cheki Tundulisu zitto na kale ka bibi mngekua marehem sasaiv
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Ni kweli na mifano ipo mingi tu.Ninachojua mimi,utawala wa mtu mmoja muda mrefu haujawahi kuisha vizuri,kuna siku watu watakuchoka tu regardless umefanya mangapi..Just taste yako ikiisha lazima kinuke,ni suala la muda tu.
Putin na jiwe hakuna tofauti sema viwango vinazidiana.Ngoja tuone hao wanaojiita jumuia za kimataifa watafanya nini kwa mwamba Putin.
maana kuna watu ukiwafinya kidoogo wanajivunia jumuiya za kimataifa.
Naamini zipo zinazofail lakini si kwamba wanamshindwa but wanamuonesha tu kwamba popote alipo wapi!Wataka kuniambia hakuna missions ambazo hizo units zjnafail?
Putin anapenda samu kutumia sumu.Alexei kapoteza fahamu.Vladimir putin
Daah nakumbuka Yaser Arafat alipigwa na hii,akafa taratiiibu...Hio haiachi mtu salama, na mara nyingi hugundulika wakati wa postmortem wakati uhusika keshakaribishwa na malaika huko in other side of life
Anaitwa Boris nemtsov alikuwa mpinzani mkubwa sana wa bwana Putin.alifanyiwa mauwaji katika daraja la kremlin(karibu kabisa na Ikulu ya Urusi).
Masaa ma 4 kabla ya kifo chake alifanya interview na kituo cha habari,aliongea mambo mazito sana kuhusu Putin.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa USA na NATO kama ni kweli wao ni wanaume watangaze NO FLY ZONE kwa mrussi kama walivyofanya kwa Iraq na Libya then warushe hata bomu 1 tu la mkono ndani ya ardhi ya Russia waone dunia inavyorudishwa kwenye enzi za ujima.
Polonium 210.. 😀 😀