TANZIA Kiongozi wa Upinzani Urusi na mkosoaji mkubwa wa Rais Putin, Alexei Navalny afariki dunia akiwa gerezani

TANZIA Kiongozi wa Upinzani Urusi na mkosoaji mkubwa wa Rais Putin, Alexei Navalny afariki dunia akiwa gerezani

Putin ni muuaji na katili mno....

Mwishowe hata yeye atakufa.
Hata wewe utakufa. Unafikiri Putin hafahamu kuwa atakufa ? Achana na wanasiasa wa duniani hii ni wauaji kupindukia wengine wanaua maelfu ya watu pale mashariki ya kati na wengine wanaua wapinzani wao.

Wanasiasa ni majoka yaliyo vaa suti nyeusi
 
Siku moja kabla ya kifo chake akimtania Judge kuwa amtumie hela kidogo kwa kuwa amefulia. Hawa watu wa Urusi huwa hawaaamini kama Mungu yupo wanakuwa hawaogopi kifo.👇👇👇
 

Attachments

  • m2-res_480p.mp4
    2.5 MB
Mpaka sasa wanasiasa na wanahabari wakosoaji wa utawala wa putin wenye majina makubwa wamekufa zaidi ya 18 je putin ataishi milele? Hii shida ya kutaka kuongoza watu wengi kwa kujiona wewe ndo sahihi ipo siku utakuwa mkimbizi wa nchi zao mama kama akina yahya jammeh
Sishabikiii mauji, kuuana au kudhurumu haki ya kuishi.

Ila kwa taifa kubwa kama urusi linalowindwa 24/7 nusu ya wapinazi wanakua halisi nusu yao wanakua mamluki Ili kuyumbisha au kupindua selikali.

Maadui wa nje wanapenda kutumia watu wa ndani kuligawa taifa husika....,
 
Back
Top Bottom