Mpaka sasa wanasiasa na wanahabari wakosoaji wa utawala wa putin wenye majina makubwa wamekufa zaidi ya 18 je putin ataishi milele? Hii shida ya kutaka kuongoza watu wengi kwa kujiona wewe ndo sahihi ipo siku utakuwa mkimbizi wa nchi zao mama kama akina yahya jammeh