Kiongozi wa upinzani wa Israel Yair Lapid amshambulia Netanyahu

Kiongozi wa upinzani wa Israel Yair Lapid amshambulia Netanyahu

The greatest disaster in our history occurred during Netanyahu's term. No agreement with Hezbollah can erase this neglect.

Cha kushangaza kuna Wayahudi weusi wa Nyambiti wanakuambia Israel hawajapata hasara yeyote😂
juzi kati hapo naangalia Al Jazeera waisraeli wanavyolalamika kuishi mafichoni chini ya mahandaki zaidi ya miezi sita sasa wamechoka wanataka bora yeshe warudi majumbani mwao...ila sasa ukiwakuta wayahudi wa kizazi cha 50 cha mzee magoma hapa bongo wakiisifia israeli unaweza sema israeli ni alliens kumbe takataka fukani hivi ambazo haziwezi shindana hata na vikundi vya mgambo
 
Hata Gaza wanatumia mbinu hiyo hiyo halafu wanalamika Israel anapowakaanga bila huruma
We bwege sana kwenye nyumba wamekuta hata bunduki au bastola. Nenda kauze gongo wewe toka lini aliye zaliwa nje ya ndoa akawa mkweli.

Wakristo watu wa ajabu sana mnapigana mikasi we mnazaliana afu mnafunga ndoa 😄 🤣
 
Israel ameangamiza uongozi mzima wa magaidi Hezbollah na Hamas, makamanda wa Iran waliokua Syria na Lebanon , wameharibu miundo mbinu ya kigaidi ghaza na Lebanon,ln short Israel iko salama zaidi kuliko kabla ya oct 7
‎Tazama Israel alicho kubali kwenye ceasefire acheni gongo.
The text of the ceasefire agreement in Lebanon
‎📌 The surrounded forces of Israel will gradually withdraw its forces behind the Blue Line over a period of up to 60 days and Hezbollah will take the control of southern Lebanon.
‎📌 Israel will free Hezbollah PoWs and will not carry out any offensive military action in Lebanon by land, sea or air.
‎📌 Any sale, supply or manufacture of weapons in Lebanon will be under the supervision of the Lebanese government but under the control of Hezbollah.
‎📌 Hezbollah and all armed factions in Lebanon will not carry out any attack against after the surrender of Israel.
‎📌 Any facilities involved in the manufacture of weapons or related materials in Israel will be dismantled.
‎📌 Israel and Lebanon recognize the importance of UN Security Council Resolution 1701.
‎📌 A joint committee between Israel and Lebanon will be formed to monitor and implement these commitments.
‎📌 Any unauthorized military infrastructure or sites in Israel will be destroyed and illegal weapons confiscated.
‎📌 Lebanon in coordination with Hezbollah will deploy security and army forces along the border and distribute them according to the agreed upon security plan.
‎📌 The Lebanese security, military forces and Hezbollah will be the only ones authorized to carry weapons or carry out operations.
‎📌 Washington will seek to facilitate indirect negotiations between Israel and Lebanon to establish a recognized land border but the final word is with Hezbollah.
 
Wanaukumbi.

Kiongozi wa upinzani wa Israel Yair Lapid amshambulia Netanyahu:

"Maafa makubwa zaidi katika historia yetu yalitokea wakati wa utawala wa Netanyahu. Hakuna makubaliano na Hezbollah yanayoweza kufuta uzembe huu.

Mkataba lazima uhitimishwe haraka kuwarudisha wafungwa na kuwarudisha raia walioachwa."


View: https://x.com/sprinterfamily/status/1861536446382841894?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Team Kobazi mnajua kujiliwaza kwelikweli kwa kuokoteza vijimeseji vinavyompinga Netapaka.
 
Back
Top Bottom