Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhambi zake zote zimefutwa wala hazitakumbukwa tena kwa kuitakia amani taifa la Mungu.Paw rekebisha title isomeke
Kiongozi wa waasi nchini Syria aomba amani na Israel, nchi za Ulaya na Marekani
hapo sawa ataungwa mkono ila asiungane tu mdhamini wa magaidi IranAmesema kuwa amechoka kupigana kwasababu zisizo na mbele wala nyuma, ameomba kuungwa mkono na Israel, Ulaya na Marekani.
Huu ni ushindi mkubwa na ukombozi kwa makobazi.
Chanzo: Adhuhuri Live (UTV).
Dhambi zake zote zimefutwa wala hazitakumbukwa tena kwa kuitakia amani taifa la Mungu.
Muhimu ayaishi maneno yake kwa kumaanisha na yatoke moyoni na akiri kutorudia tena. Mungu ambariki sana na watu wake.
Yamebaki tu misijdah yao mikubwa kama full moon pajiniSasa itakuaje sisi wahafidhina uchwara?
Fungu letu na bwana wetu Ayatola tutapataje?
Aaagh huyu pandikizi la Mossad Jewish lenye ndevu zenye laana hiyo ni jihad ya namna gani?
Maghayo kwani veep mbona mapema sana wamechoka kukilipua wakachukue bikra 77?
😁😁
Kiongozi wa waasi au wa serikali mpya?Amesema kuwa amechoka kupigana kwasababu zisizo na mbele wala nyuma, ameomba kuungwa mkono na Israel, Ulaya na Marekani.
Huu ni ushindi mkubwa na ukombozi kwa makobazi.
Chanzo: Adhuhuri Live (UTV).
Watu mna chuki mbaya Kwa wenzenu, jambo dogo maneno tele ktk vinywa, mhh.Yamebaki tu misijdah yao mikubwa kama full moon pajini
Alafu utawaona wakianzisha Nyuzi kuwa Dini zao ni dini za Upendo bila Chuki.Watu mna chuki mbaya Kwa wenzenu, jambo dogo maneno tele ktk vinywa, mhh.
🚮Ila tu kumbukeni tu kwamba
Al Qaeda ilianzishwa na US
HAMAS ilianzishwa na akina Netanyahu
Wanafundishwa na wanarithi hata mkiristo umsaidie vp lakini lazima awe na chuki huwa wanamezeshwa vizuri sana sasa huyu mada haihusiani na hilo alilosema lakini watatoka moja kwa moja kupresent yaliyo moyoni mwao hasa hawa walioko kwenye institution wanavowaza kama they deserve only kuwa kuanzia mfungua geti mpk raisi wawe wao hawana tolerability kama kuna watu wameumwa ndani ya nchi hii sijui kwa kweli hz chuki they came from huwa wao wakizungumzia mambo yao ya kanisa au kikristo hakuna muislam anaeingia kati kuonesha chuki kama wao bt ni ukosefu wa elimu wengi wao ni kukariri na kuwekwa katika nafasiWatu mna chuki mbaya Kwa wenzenu, jambo dogo maneno tele ktk vinywa, mhh.
Amesema kuwa amechoka kupigana kwasababu zisizo na mbele wala nyuma, ameomba kuungwa mkono na Israel, Ulaya na Marekani.
Huu ni ushindi mkubwa na ukombozi kwa makobazi.
Chanzo: Adhuhuri Live (UTV).
Hahahha una utani wa ngumi na adriz wewe Mgerasi mimi simo utakavyokua unakatwa kichwa kwa Jambia la Seyyid Sayyid!Yamebaki tu misijdah yao mikubwa kama full moon pajini
Siyo chuki kwa sababu ya Dini yao ila tunachukia ujinga wao kwa kupelekwa pelekwa na nadharia uchwara sasa jitu linaenda sokoni kujilipua na linaua waumini wenzake wa Dini hiyo hiyo unaona imekaa sawa?Watu mna chuki mbaya Kwa wenzenu, jambo dogo maneno tele ktk vinywa, mhh.
Wakristo wanawachukia sana waislam,sijui tatizo nini hizi dini mbili,na humu mada nyingi ni za wakristo kuwashambulia waislam,Watu mna chuki mbaya Kwa wenzenu, jambo dogo maneno tele ktk vinywa, mhh.