Kiongozi wa waasi nchini Syria asema aomba amani na Israel, nchi za Ulaya na Marekani

Kiongozi wa waasi nchini Syria asema aomba amani na Israel, nchi za Ulaya na Marekani

Wanafundishwa na wanarithi hata mkiristo umsaidie vp lakini lazima awe na chuki huwa wanamezeshwa vizuri sana sasa huyu mada haihusiani na hilo alilosema lakini watatoka moja kwa moja kupresent yaliyo moyoni mwao hasa hawa walioko kwenye institution wanavowaza kama they deserve only kuwa kuanzia mfungua geti mpk raisi wawe wao hawana tolerability kama kuna watu wameumwa ndani ya nchi hii sijui kwa kweli hz chuki they came from huwa wao wakizungumzia mambo yao ya kanisa au kikristo hakuna muislam anaeingia kati kuonesha chuki kama wao bt ni ukosefu wa elimu wengi wao ni kukariri na kuwekwa katika nafasi
Mafundisho gani hayo ndugu? Sijawahi kuyaona hayo ya kuchukia wengine yakifundishwa. Panafundishwa upendo. Kama kuna mtu anachukia watu wengine, nadhani ni hulka na historia yake katika maisha yake inaweza kuwa imechangia, siyo mafundisho katika ukristo
 
Siyo chuki kwa sababu ya Dini yao ila tunachukia ujinga wao kwa kupelekwa pelekwa na nadharia uchwara sasa jitu linaenda sokoni kujilipua na linaua waumini wenzake wa Dini hiyo hiyo unaona imekaa sawa?
Mimi na huu huu umasikini wangu, kamwe siwezi kumuua mtu ambaye hajawahi kunitendea ubaya.

Hata nipewe 10 millions eti niende kurusha bomu sokoni au kanisani, I'll never do such a thing.
 
Alafu utawaona wakianzisha Nyuzi kuwa Dini zao ni dini za Upendo bila Chuki.

Lakini Namna wanavyowachukia waislamu na uislamu kwa ujumla ni Chuki Kuu vifuani mwao.

#UNAFIKI.
kwa mauaji wamefanya waislam hapa afrika na hawakemei wanasema ni haki yao kuuua wasio waislam , je nan mnafiki hapo ?
 
kwa mauaji wamefanya waislam hapa afrika na hawakemei wanasema ni haki yao kuuua wasio waislam , je nan mnafiki hapo ?

Unatakwimu za Mauaji yaliyofanywa na Hao unaowaita ni waislamu na Yale yasiyofanywa na waislamu hapa Africa??

Unajua mauaji yanayoendelea Congo? Jee wanaohusika ni Waislamu??.

Nikukumbushe Makundi ya kigaidi unayoyafikilia kuwa ni ya Kiislamu Ni makundi yaliyoanzishwa kisiasa na ki propaganda yakavikwa Mavazi ya Dini ili yapate wafuasi na Uungwaji mkono.

Wapo waislamu wanapinga hayo makundi na kujaribu kufafanua mambo kwa Watu ili waelewe hilo(Uislamu upo mbali na mambo hayo).

Hakuna katika uislamu mtu aende sokoni akalipue watu eti aseme ni Jihad hakuna huo ni Uhuni uliovikwa mavazi ya Dini.

Mtu yeyote anaweza kuteka watu akawachinja huku akitamka "Allah akbar" lakini kumbe hata sio muislam wala hata kuswali hajui lakini wewe ndugu yangu wa charambe sokoni ukiiona hiyo video muhusika kavaa kilemba na kanzu utasema ni Muislamu.

Ukiaangalia mauaji anayofanya Myahudi pale gaza na ukiangalia Watoto wanavyokatwa Viungo ni jambo la Kutisha sana Lakini ni wangapi katika Wakristo humu wanaunga mkono kile anachokifanya Netanyahu.

Ndo maana nasema ni UNAFIKI.
 
Amesema kuwa amechoka kupigana kwasababu zisizo na mbele wala nyuma, ameomba kuungwa mkono na Israel, Ulaya na Marekani.

Huu ni ushindi mkubwa na ukombozi kwa makobazi.

Chanzo: Adhuhuri Live (UTV).
Alitumia gear ya Jihad kupata nchi,then kawasaliti watamla kichwa
 
Back
Top Bottom