residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Ni mnafiki "numbero uno".Unafiki na Kujipendekeza. Yaani unafikiri ili ukubalike nao ni kumpondea aliyekuwa hapatani nao.
Waafrika anajua fika walikuwa wanamkubali so anataka kucheza kote kote. UNAFIKI
Sana!! Mimi huwa nin awa challenge kuwa alipoteuliwa kuwa Mgombea Mwenza hawakuelewa maana yake?Wanampinga SSH wanaonekana wengi n CCM vipi 2025
Katika mwaka wa kwanza mwishoni na wa pili. Ila huyo aliyeondolewa sijakupata hapo.Ni lini alitaka kujiuzulu? ….au ndo sababu ya kumwondoa yule.!
Kama ni ugumu mbona makamu wa sasa kafanywa kinyago tu.
Nakazia, muislam hatakiwi kuwa mnafiki,Kamsifia anapostahili ,alipoharibu alipondwa
Huo ndo uisilamu unafiki mwiko
ni kipindi gani alitaka kujiuzulu? HUU UONGO MNAUTOA WAPI NYIE WATU?Yote aliyosema ni kweli. Ni kweli SSH alifanya kazi kwa ugumu sana na JPM. Kumbuka kuna kipindi SSH akiwa Makamu alitaka kujiuzulu lakini ikaonekana consequences zitakuwa kubwa ikabidi SSH aendelee naye.
Ni kweli pia JPM ndiye anayestahili tuzo hiyo sababu ni yeye JPM ndiye aliyekuwepo na kusimamia miundombinu mingi kama Daraja la Kijazi, Mfugale, SGR, Stigler bwawa. To my opinion SSH ameongea ukweli na wala hajajipendekeza popote.
Kama hukuwahi kufahamu kaa kimyani kipindi gani alitaka kujiuzulu? HUU UONGO MNAUTOA WAPI NYIE WATU?
Duuh...mkuu umeua.Kwani we hujui tabia za wanawake saloon?
Ukileta 'ugumu' unaondoshwa, ndicho kilichofanyika.Katika mwaka wa kwanza mwishoni na wa pili. Ila huyo aliyeondolewa sijakupata hapo.
Acha kuona dini kwenye kila kitu. Udini ni sumu.Kamsifia anapostahili ,alipoharibu alipondwa
Huo ndo uisilamu unafiki mwiko
Tulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.
Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.
Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?
Huku Afrika anajikosha ili iweje?
Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.
Nadhani MARA ZOTE ni hekima kubwai sana kuwa mnafiki unapokuwa uko na mabeberu. Nampongeza sana kwa hekima hii. Matatizo ambayo tayari tumeshayapata kutokana na mkono wa Mungu yanatutosha kabisa na hivyo hatuhitaji mengine tena ya kuyatafuta kwa mkono wetu wenyeweTulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.
Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.
Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?
Huku Afrika anajikosha ili iweje?
Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.
Ndio njia ya kuwapata hao mabeberu. Simple.Tulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.
Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.
Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?
Huku Afrika anajikosha ili iweje?
Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.
Ndo tatizo la kuwa na Rais wenye asili ya Pwani, yaani ni wanafiki na wambeaTulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.
Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.
Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?
Huku Afrika anajikosha ili iweje?
Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.
tuzo aliyopewa ni ya makufuli yeye kapokea kwa niaba tu. cha ajabu tv zetu zina sema kupokea kwa tuzo hiyo ya makufuli yeye pia alishiriki kufanikisha mafanikio hayo kwa sababu alikuwa makamu wa rais.
Kama ni hivyo tv zetu ziseme wazi kashfa anayopewa makufuli na kina zito na nape na mkaguzi wa mahesabu kwa makufuli na mama naye anashiriki kwa kashfa hiyo. sio kwenye tuzo mama yupo pamoja na jpm kwenye kashfa ni makufuli pekee hii ni dhambi kubwa sana
basi ni dini ya wajinga.Kamsifia anapostahili ,alipoharibu alipondwa
Huo ndo uisilamu unafiki mwiko