Kiongozi wetu akiwa na Marais wenzake wa Afrika anamsifia hayati Magufuli ila akiwa na mabeberu anamnanga na kumponda

Kiongozi wetu akiwa na Marais wenzake wa Afrika anamsifia hayati Magufuli ila akiwa na mabeberu anamnanga na kumponda

Tulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.

Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.

Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?

Huku Afrika anajikosha ili iweje?

Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.
Halafu majuzi anajidai kumtimua waziri wa nje kwa kujikomba kwa mabeberu na kumnnanga yeye😂😂
 
Wengi wanajua ukweli JPM alichofanya Tanzania, alikuwa Kama role model wa Africa, hawezi kumunanga mbele ya sanamu ya kwame nkuruma, atamunanga mbele ya mabeberu waiba rasilimali zetu hili apate kamusaada.
Msaada gani? Hawa type yao wanajikomba kupewa misaada ili wapige panga. Wanafanya ubadhilifu kodi na fedha yoyote ya umma na kushirikiana na wafadhali kula fedha inayoitwa ya misaada. Hela ya misaada wanapenda maana ni ni rahisi kula bila umma kutambua.
 
Tulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.

Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.

Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?

Huku Afrika anajikosha ili iweje?

Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.
Huyu angeweza kumshauri vipi intellectual kama Magufuli?
 
Wengi wanajua ukweli JPM alichofanya Tanzania, alikuwa Kama role model wa Africa, hawezi kumunanga mbele ya sanamu ya kwame nkuruma, atamunanga mbele ya mabeberu waiba rasilimali zetu hili apate kamusaada.
Acha kufananisha Kwame Nkrumah na vitu vya ajabu
 
Tulisikia kwa masikio yetu na macho yetu akikiri wazi kuwa hayati JPM alikuwa ana kiburi na alikuwa hashauriki. Na alifanya nae kazi kwa ugumu sana. Hii ina maanisha kuwa alipata wakati mgumu kuwa nae.

Ila akiwa huko Ghana akipewa tuzo amekiri kuwa hiyo tuzo aliyopewa hakustahili kuipata maana aliyestahili ni hayati JPM kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa taifa lake.

Ina maana alimnanga hayati JPM mabeberu ili akubalike kwa manufaa yake binafsi huku akijua alikuwa jembe?

Huku Afrika anajikosha ili iweje?

Aina hii ya viongozi ni wa kutilia mashaka.
Kwani uongo?

Umekazana "mabeberu mabeberu" wewe ni tesi?
 
Ana u intelectual upi wewe?

Unafahamu maana ya intelectual?
Wwe lazima utakua mpiga deal la Ngada,si kwa kumchukia hivi Mwendazake,lazima alikuvurugia mipango yako haramu uliokua unafanya wwe na Mume wako!!
 
Wwe lazima utakua mpiga deal la Ngada,si kwa kumchukia hivi Mwendazake,lazima alikuvurugia mipango yako haramu uliokua unafanya wwe na Mume wako!!
Hapa ndipo penye Shida. Team Magu hamkuona mapungufu yake , na mmejiaminisha kua, ambao hawakumuelewa walikua, wapigadili, mafisadi , Wala rushwa ,na Wauza unga.

Kwanza ondoa hiyo dhana vichwani mwenu , muwe tayali kujua Yale alio boronga kwa kiasi kikubwa ,Huku akisofiwa .
 
Back
Top Bottom