Kiongozi Yanga asema wataifunga Al Ahly nje-ndani

Kiongozi Yanga asema wataifunga Al Ahly nje-ndani

CRY MORE[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

kudadadek.....
Mpaka mseme THIS IS SIMBA SC ni kuuuuuuubwaaaaaa kuliko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ajabu nikuwa katika hilo Bonanza ni timu yako tu ambayo haina hata taji la CAF... Huo ukubwa wko ni ukubwa jinga au ni ukubwa wa uzee wa wachezaji wenu?.
 
Makamu wa Rais Yanga, Arafat Haji ametamba wana kikosi kizuri ambacho kinaweza kushindana na timu kubwa katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwamba katika mchezo dhidi ya Al Ahly wapo tayari kupambana nao na kuhakikisha wanapata matokeo nyumbani na ugenini.

My Take
Kupata hivi vichekesho vya Utopolo unabonyeza ngapi-ngapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kwa akili yako ulitegemea arafat asemeje?
 
Al ahly kipaombele ni AFL na sio hivyo vijikombe vingine,watulie kwanza
AFL ni bonanza tu kama nani mtani jembe ndio maana bingwa anaishia hapo hapo hapati promotion yeyote zaidi ya Fedha tu ,ila Champions league bingwa anaenda kucheza Fifa Club World Cup huko atakutana na vigongo vya ulaya kama Man U ,Real Madrid na Bayern .

Jiongeze hapo
 
Yanga wakishinda watakua wamebebwa Hesi atakua katoa bahasha
 
Mkuu tuweke ushabiki pembeni aliyewahi kumfunga Al Ahly kwao ni Mamelodi, nadhani unakumbuka Mamelodi walipokuwa kwenye pick si hii ya sasa,mpira waliopiga wakati huo ni balaa
Wale ni Mamelodi na si Yanga..!!
 
Ahly ni waungwana sana mpaka half time ilikua hivi je!! wangeamua kuwa makatili full time ingekuaje?
IMG_20231013_141256.jpg
 
Makamu wa Rais Yanga, Arafat Haji ametamba wana kikosi kizuri ambacho kinaweza kushindana na timu kubwa katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwamba katika mchezo dhidi ya Al Ahly wapo tayari kupambana nao na kuhakikisha wanapata matokeo nyumbani na ugenini.

My Take
Kupata hivi vichekesho vya Utopolo unabonyeza ngapi-ngapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ha ha ha ha ha ha
 
Wakamfunge Ihefu nje ndani kwanza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom