Kiongozi Yanga asema wataifunga Al Ahly nje-ndani

Kiongozi Yanga asema wataifunga Al Ahly nje-ndani

Ibrahim Baka na Job ndio wamalize pale kati harafu kulia kama kawa Yao Yao kushoto Lomalisa huko mbele weka yeyote waarabu watapata tabu yule Modeste wao anaruka sana vichwa...
 
Ndugu yangu adriz siku tukiufukua huu uzi Muhasibu wa mchongo awe na nguvu hizi hizi za kuandika.
 
Back
Top Bottom