Kipa Diarra wa yanga apewe heshima yake ni habari nyingine

Kipa Diarra wa yanga apewe heshima yake ni habari nyingine

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Nimekuwa nikiona mijadala mbalimbali ikiendelea hapa wakishindanishwa magolikipa diarra na Manura kwamba nani ni bora, Naweza kusema golikipa Djigui diarra kuna vitu vingi sana kamzidi manura achilia mbali kufanya vizuri kwenye ligi ya Tanzania, uyu diarra walio wengi wamekuja kumjua aliposajiliwa yanga lakini kl4abla ya hapo awajui ni mchezaji wa aina gani na amepitia kwenye njia zipi mpaka amefikia apo alipo, kuna baadhi wanakimbilia kusema manura ni bora kuliko diarra kwa kuwa eti ameifikisha simba robo fainali ya confederation cup, lakini hapo hapo awajui uyo diarra kacheza kombe la dunia under 20, under 23, kacheza chan nusu fainali mara kibao na bado anaendelea kuitwa timu ya taifa ya Mali mpaka sasa hivi, kitendo cha kuitwa timu ya taifa ya Mali ata kama ajapata nafasi ya kucheza ni wake up call ya kukujulisha ya kuwa uyo bwana kiwango chake kiko vizuri, Jana nimeona wachezaji walioitwa timu ya taifa ya Mali akuna mchezaji ata mmoja anaecheza pale Mali bali wote wanacheza ulaya na ni mchezaji mmoja tu anaecheza barani Africa aliyeitwa nae sio mwingine ni Djigui Diarra anaecheza yanga ya Tanzania, Kwa namna yoyote ile uwezi kulinganisha namna Mali walivyo na utitiri wa wachezaji bora wanaokipiga nje ya taifa lao na Tanzania, utakuwa unawakosea heshima, Kwaiyo kupata nafasi tu ya kuitwa timu yao ya Taifa basi uwe umefanya kazi ya ziada na sio ya kitoto, Manura anaweza kubaki kuwa kipa bora kwa magolikipa wetu wa kitanzania hapa kwakuwa baada ya kina Mwamed mwameja, juma kaseja sijaona kipa mwingine ambae anaweza kumchalenji kwa sasa kwenye soka letu la Tanzania, wengi viwango vyao ni vidogo sana, lakini unapokuja kwenye suala la kumshindanisha na makipa wa kigeni waliopo hapa kwa sasa bado anaendelea kuwa chini ya diarra kivyovyote vile, Tuchukue mfano mdogo tu uyo Manura angekuwa ni raia wa Mali na kocha wa Mali akapewa achague kati ya Manura na Diarra unafikiri angemchagua nani kwenye timu ya taifa ilo ukiwaondoa makipa alioita ibrahim mounkoro wa tp mazembe na yule wa Malmo ya Italia? Kwaiyo mi nafikiri Manura abaki na umanura wake hapa tanzania na Diarra abaki kama diarra
 
Nimekuwa nikiona mijadala mbalimbali ikiendelea hapa wakishindanishwa magolikipa diarra na Manura kwamba nani ni bora, Naweza kusema golikipa Djigui diarra kuna vitu vingi sana kamzidi manura achilia mbali kufanya vizuri kwenye ligi ya Tanzania, uyu diarra walio wengi wamekuja kumjua aliposajiliwa yanga lakini kl4abla ya hapo awajui ni mchezaji wa aina gani na amepitia kwenye njia zipi mpaka amefikia apo alipo, kuna baadhi wanakimbilia kusema manura ni bora kuliko diarra kwa kuwa eti ameifikisha simba robo fainali ya confederation cup, lakini hapo hapo awajui uyo diarra kacheza kombe la dunia under 20, under 23, kacheza chan nusu fainali mara kibao na bado anaendelea kuitwa timu ya taifa ya Mali mpaka sasa hivi, kitendo cha kuitwa timu ya taifa ya Mali ata kama ajapata nafasi ya kucheza ni wake up call ya kukujulisha ya kuwa uyo bwana kiwango chake kiko vizuri, Jana nimeona wachezaji walioitwa timu ya taifa ya Mali akuna mchezaji ata mmoja anaecheza pale Mali bali wote wanacheza ulaya na ni mchezaji mmoja tu anaecheza barani Africa aliyeitwa nae sio mwingine ni Djigui Diarra anaecheza yanga ya Tanzania, Kwa namna yoyote ile uwezi kulinganisha namna Mali walivyo na utitiri wa wachezaji bora wanaokipiga nje ya taifa lao na Tanzania, utakuwa unawakosea heshima, Kwaiyo kupata nafasi tu ya kuitwa timu yao ya Taifa basi uwe umefanya kazi ya ziada na sio ya kitoto, Manura anaweza kubaki kuwa kipa bora kwa magolikipa wetu wa kitanzania hapa kwakuwa baada ya kina Mwamed mwameja, juma kaseja sijaona kipa mwingine ambae anaweza kumchalenji kwa sasa kwenye soka letu la Tanzania, wengi viwango vyao ni vidogo sana, lakini unapokuja kwenye suala la kumshindanisha na makipa wa kigeni waliopo hapa kwa sasa bado anaendelea kuwa chini ya diarra kivyovyote vile, Tuchukue mfano mdogo tu uyo Manura angekuwa ni raia wa Mali na kocha wa Mali akapewa achague kati ya Manura na Diarra unafikiri angemchagua nani kwenye timu ya taifa ilo ukiwaondoa makipa alioita ibrahim mounkoro wa tp mazembe na yule wa Malmo ya Italia? Kwaiyo mi nafikiri Manura abaki na umanura wake hapa tanzania na Diarra abaki kama diarr
Sasa anafanya nini utopoloni? Kitimu kilichojaa wastaafu wa kiCongo na warundi wazee ambacho mechi zake kubwa ni dhidi ya Dodoma Jiji, Ihefu, n.k. na kucheza mechi moja tu ya "kimataifa" dhidi ya Somalia!!
 
Mohamed mwameja na siyo MWAMED

Naona utopolo mnajijibu wenyewe

Manula n kipa mzuri sema msimu huu TU hajafanya vizuri
 
ukweli ni huo ila wachambuzi mandazi ndio wanaleta huo mjadala
 
Hatuwezi kumpima kwa timu za Mbeya kwanza , Prison na Biashara. Subiri kimataifa ndo ulete hoja yako Maana mechi zote za kimataifa tena kwa vitimu dhaifu alipasuliwa kama hayumo golini vile.

Zanaco na kapumbu wake walimtia 2

Rivers na kitompe wake walimtia 2.

Ko tuvute subira kwanza akifanya vizuri kimataifa haki yake tutampa tu kama anastahili.
 
Hatuwezi kumpima kwa timu za Mbeya kwanza , Prison na Biashara. Subiri kimataifa ndo ulete hoja yako Maana mechi zote za kimataifa tena kwa vitimu dhaifu alipasuliwa kama hayumo golini vile.

Zanaco na kapumbu wake walimtia 2

Rivers na kitompe wake walimtia 2.

Ko tuvute subira kwanza akifanya vizuri kimataifa haki yake tutampa tu kama anastahili.
Acheze kimataifa mara ngapi wewe mbona una kichwa kigumu ata mwalimu wako alikuwa na shida kukufundisha, uyo kacheza Afcon, kacheza chan, kacheza kombe la dunia under 20, under 23 na kanyanyua ndoo michuano ya africa chini ya umri huo unataka kimataifa ipi unayotaka wewe? Ndo maana nasema walio wengi mmemjua aliposajiliwa yanga msiwe wavivu fuatilieni rekod zake kabla amjabwabwaja
 
Kipa anapopimwa kwa mafanikio ya team ya Taifa huwa nashangaa sana. Vipi kwenye Club hachezi?
Unavyosema manura mafanikio yake ni kuifikisha Simba robo fainali Confederation Cup, bado nashangaa.
Ni huyu huyu Manura aliyecheza Ligi ya mabingwa msimu uliopita Mechi kumi kabla ya robo fainali na kuruhusu bao 2 pekee?

Ni huyuhuyu manura aliyeongoza kwa saves AFCON 2019 group stages?

Staki kuzungumzia ligi kuu maana ni kufuru itakuwa, kafanya makubwa mno zaidi ya mara tano kama sio Sita mfululizo anakuwa kipa bora kwenye ligi yetu.
Ni vizuri kushangilia ila Usishangilie kipumbavu,
Huwezi tumia team za taifa za Vijana kupima mafanikio ya mchezaji ( ndio maana yanaitwa ya vijana, hakuna userious huko).

Ni mashindano hayo ya Vijana ambayo wachezaji sio pro unataka kutumia kumpima Diarra kama ni bora.
Asa najiuliza inamaana huyu mtu alicheza team ya vijana tu mpira wake ukaishia hapo?
Hakuwahi cheza Club? Vipi huko?
Tuache Masikhara Jamani, tukiacha story za kina Mwameja ambao hatujawaona wengi wetu ( Hata kama ulikuwepo nna uhakika hujawaona, hakukuwa na TVs wakati huo, kuwaona ni
Mpaka uwanjani. Ntashangaa mtu wa Rukwa ukisema uliwaona kina Pazi wakati Ulikuwa kwenu Sumbawanga) Manula ndie kipa bora Kuwahi kutokea Tanzania. ( kwa niliowashuhudia).
 
Kipa anapopimwa kwa mafanikio ya team ya Taifa huwa nashangaa sana. Vipi kwenye Club hachezi?
Unavyosema manura mafanikio yake ni kuifikisha Simba robo fainali Confederation Cup, bado nashangaa.
Ni huyu huyu Manura aliyecheza Ligi ya mabingwa msimu uliopita Mechi kumi kabla ya robo fainali na kuruhusu bao 2 pekee?

Ni huyuhuyu manura aliyeongoza kwa saves AFCON 2019 group stages?

Staki kuzungumzia ligi kuu maana ni kufuru itakuwa, kafanya makubwa mno zaidi ya mara tano kama sio Sita mfululizo anakuwa kipa bora kwenye ligi yetu.
Ni vizuri kushangilia ila Usishangilie kipumbavu,
Huwezi tumia team za taifa za Vijana kupima mafanikio ya mchezaji ( ndio maana yanaitwa ya vijana, hakuna userious huko).

Ni mashindano hayo ya Vijana ambayo wachezaji sio pro unataka kutumia kumpima Diarra kama ni bora.
Asa najiuliza inamaana huyu mtu alicheza team ya vijana tu mpira wake ukaishia hapo?
Hakuwahi cheza Club? Vipi huko?
Tuache Masikhara Jamani, tukiacha story za kina Mwameja ambao hatujawaona wengi wetu ( Hata kama ulikuwepo nna uhakika hujawaona, hakukuwa na TVs wakati huo, kuwaona ni
Mpaka uwanjani. Ntashangaa mtu wa Rukwa ukisema uliwaona kina Pazi wakati Ulikuwa kwenu Sumbawanga) Manula ndie kipa bora Kuwahi kutokea Tanzania. ( kwa niliowashuhudia).
Wewe ujitambui nani kakwambia diarra kacheza timu za vijana peke yake? Kule chan ilikuwa timu ya vijana? Timu ya taifa ya mali ni timu ya vijana? Ebu kwanza tafuta cv ya diarra kabla ujaongea chochote, Maana naona unapayuka tu apà, Uyo diarra kacheza timu yenye wachezaji wakubwa na sio kulinganisha na timu yako ya Taifa stars, ulitaka afcon akadake nani kama sio uyo uyo Manura ambae kwa kiwango cha hapa ndo mnaona ni tegemezi lenu vipi angekuwa timu ya taifa ya Mali ingekuwaje? Ni sawa na kina pita banda kuitwa timu zao za taifa na wakina Inonga, mayele, bangala, aucho wakashindwa kuitwa unafikiria ni kwa nini? Ni kwasababu awa kina pita banda ndo wanaonekana mastaa kule malawi tofauti na kongo kwenye vipaji vikubwa na kwenye utitiri wa wachezaji wanaocheza nje ya kongo, kwa maana iyo usilinganishe mlima na kichuguu ukaviweka level moja mkuu
 
Yaani unatumia historia na assumption kusema kipa wenu ni bora. Hizo under 20, 23, chan ni past. Msimu huu Diarra kafanya maajabu gani kumzidi Manula kuanzia NBC hadi kimataifa? Leta takwimu za saves na zingine za wachezajia hao wawili kwa mechi walizocheza uone nani bora.

Hakuna mchezaji anaetamkwa bora kuliko fulani kwa msimu husika kwa sababu tu ya historia.
 
Wewe ujitambui nani kakwambia diarra kacheza timu za vijana peke yake? Kule chan ilikuwa timu ya vijana? Timu ya taifa ya mali ni timu ya vijana? Ebu kwanza tafuta cv ya diarra kabla ujaongea chochote, Maana naona unapayuka tu apà, Uyo diarra kacheza timu yenye wachezaji wakubwa na sio kulinganisha na timu yako ya Taifa stars, ulitaka afcon akadake nani kama sio uyo uyo Manura ambae kwa kiwango cha hapa ndo mnaona ni tegemezi lenu vipi angekuwa timu ya taifa ya Mali ingekuwaje? Ni sawa na kina pita banda kuitwa timu zao za taifa na wakina Inonga, mayele, bangala, aucho wakashindwa kuitwa unafikiria ni kwa nini? Ni kwasababu awa kina pita banda ndo wanaonekana mastaa kule malawi tofauti na kongo kwenye vipaji vikubwa na kwenye utitiri wa wachezaji wanaocheza nje ya kongo, kwa maana iyo usilinganishe mlima na kichuguu ukaviweka level moja mkuu
Nshakuwa sijitambui tena? Kisa nini? Diarra?
Ubora wa kipa Huwezi upimia team ya Taifa pekee.
Nakupa hii ondoa huo ujinga unauita mashindano ya Vijana.
Unabakiwa na CHAN na AFCON.
Jumla hapo mechi zinafika 20? Hapana big HAPANA.......
Kwa hiyo unataka tutumie mechi pungufu ya Ishirini kupima Ubora wa kipa wako? Hapana big HAPANA.....
Usiniite mlevi tu, maana tayari sijitambui.
 
Mohamed mwameja na siyo MWAMED

Naona utopolo mnajijibu wenyewe

Manula n kipa mzuri sema msimu huu TU hajafanya vizuri
Sasa kama mnajua msimu huu hajafanya vizuri kwanini msikubali tu kutoa credit kwa wanaofanya vizuri? Mnalazmisha sana tatzo
 
Wewe ujitambui nani kakwambia diarra kacheza timu za vijana peke yake? Kule chan ilikuwa timu ya vijana? Timu ya taifa ya mali ni timu ya vijana? Ebu kwanza tafuta cv ya diarra kabla ujaongea chochote, Maana naona unapayuka tu apà, Uyo diarra kacheza timu yenye wachezaji wakubwa na sio kulinganisha na timu yako ya Taifa stars, ulitaka afcon akadake nani kama sio uyo uyo Manura ambae kwa kiwango cha hapa ndo mnaona ni tegemezi lenu vipi angekuwa timu ya taifa ya Mali ingekuwaje? Ni sawa na kina pita banda kuitwa timu zao za taifa na wakina Inonga, mayele, bangala, aucho wakashindwa kuitwa unafikiria ni kwa nini? Ni kwasababu awa kina pita banda ndo wanaonekana mastaa kule malawi tofauti na kongo kwenye vipaji vikubwa na kwenye utitiri wa wachezaji wanaocheza nje ya kongo, kwa maana iyo usilinganishe mlima na kichuguu ukaviweka level moja mkuu
Vipi kwenye club zake alizopita?
 
Mfananishe na Kakolanya na sio Manula. Manula ni level nyingine. Eti mafanikio chan, u20 yaani hayo mashindano ufananishe na CAF champions, kweli utopolo ni utopolo.
 
Back
Top Bottom