Tetesi: Kipanya apigiwa simu na kuambiwa afute katuni hii haraka

Tetesi: Kipanya apigiwa simu na kuambiwa afute katuni hii haraka

Yanga wana timu ya dondi? Acheni mambo yenu. Kama ameambiwa afute aifute tu. Si hakuwa na nia mbaya! Aifute tu. Huo ni uungwana. Kuna mmoja kamshauri humu ajikite na sanaa aache siasa. Siasa ni mbaya sana. "Zinamuumiza" Abutreka huko Misri. Yule mkimbiaji wa Ethiopia kaambiwa arudi nyumbani lakini anasita. "Alipinda" mikono yake "kisiasa" alipomaliza mbio huko Brazil. Akawaudhi watu kule kwao akashindwa kurudi. Msanii huyu achore katuni za kimaendeleo, kisanaa na kiburdani apate pesa ale na familia yake. Siasa mbaya sana.
Sasa akiifuta itasaidia nini, na imeshaenea kila mahali mtandaoni
 
Ukiona mtu mzima anachora katuni hadi uzee wake ujue kuna JAMBO!. Watu wazima hawawezi wakakaa kitako, wapoteze muda na mali wachore katuni...sio bure. Kuna jambo

sasa kuna ugomvi wa katuni na watu wenye akili timamu....sijui yupi anaonekana TAHIRA?
 
kwa asiyejitambua km ww utanyoosha mikono coz hujui au huna unachokiamini, yaani huna falsafa inayokuongoza. Na hili ni tatzo la vijana wengi wa kitz tena wasomi. Msomi digrii mbili hata PhD lkn ameshikwa akili na mwsnasiasa mbumbumbu kabsa.
 
Yanga buana wameona wauze ugomvi, timu inajipima na timu ya kata huko mtibwa?
 
Una maanisha nini unataka Niwe kama wewe!

Kamuulize mama yako kwanini alikubali kulaliwa na Kidume cha kitanzania akakuzaa kwenye dhiki.
kwa asiyejitambua km ww utanyoosha mikono coz hujui au huna unachokiamini, yaani huna falsafa inayokuongoza. Na hili ni tatzo la vijana wengi wa kitz tena wasomi. Msomi digrii mbili hata PhD lkn ameshikwa akili na mwsnasiasa mbumbumbu kabsa.
 
Back
Top Bottom