Tetesi: Kipanya apigiwa simu na kuambiwa afute katuni hii haraka

Tetesi: Kipanya apigiwa simu na kuambiwa afute katuni hii haraka

Anapenda siasa sasa ngoja siasa itakapompenda zaidi.
 
Masoud ni kijana anaejua anafanya nini basi ndo nachompendea hicho anajua anachokifanya
 
CCM wakisaidiwa na glovu nzito za dola wanaingia ulingoni ila wanakutana na kinyago. Then wanafura kwa hasira. I thought walipaswa kufurahi na kuacha kumbugudhi Kipanya
Mbona naona Refa naye wa kwao?
 
Hakika upo kifungoni, achore za maendeleo wakati hajaziona?.
Huo ni ujinga na matumizi mabaya ya ubongo, muuweni kwakua kafikisha ujumbe.
Mpumbafu kabisa wewe umeona ni sahihi yanayofanyika?.
Katika ulimwengu wa waliostaarabika matusi hayana nafasi hata kidogo. Tutawaachia JF yenu mtukane mnavyopenda.
 
Angalia bado unalazimishia watu wawe kama wewe!🙂

Wewe nitajie Taifa moja lilokuwa na wananchi waoga kama sisi na likapata maendeleo. Kumpa huyo mtu wako ukichaa na wakati yuko ikulu ndo ukichaa wenyewe huo kuliko hata kichaa mwenyewe.Dunia haina historia nzuri kwa vichaa kama jiwe, ntajie mmoja!

Unatajataja dunia na huku hata haufahamu historia yake kama jiwe aliyesema Saddam Hussein wa Kuwait halafu mkapampa urais!Maybe kwasababu alitumwatumwa na JK kwenye hizo wizara, utafiti wa utomvu wa korosho na kukariri?! Very stupid!

Spain under General Franco, Philippines under Marcos ilikuwa na uchumi mkubwa kuishinda South Korea, Malesia, Thailand. Kenya under Jomo Kenyatta, Tunisia under Burghiba, Saudi Arabia under all kings , NA nyingi zingine
 
Spain under General Franco, Philippines under Marcos ilikuwa na uchumi mkubwa kuishinda South Korea, Malesia, Thailand. Kenya under Jomo Kenyatta, Tunisia under Burghiba, Saudi Arabia under all kings , NA nyingi zingine
Wewe hata swali haujalielewa! Swali lilihusu mwisho wao. Hao wote bado wako madarakani. Halafu Kenyatta muondoe hapo fasta! Acha utani kama uko serious! Philiphines under Marcos Duterte unaongelea as if it is history already? na wakati yuko madarakani bado kaingia juzi tu kama jiwe! Hao wengine ulionitajia wafalme unafanisha na ufalme upi Tanzania?

"Philippines ilikuwa na uchumi mkubwa kuliko South Korea under Marcos" Unazungumia Ferdinand Marcos? Unaufahamu mwisho wake yeye na mke wake Imelda? He was ousted FYI!

Wengineo uliowataja ie Habib Bourguiba wa Tunisia siyo level ya jiwe! Huyo ni level ya mwalimu Nyerere.

Jipange zaidi or othrwise hujaelewa swali. Ama na wewe history inakupiga chenga kama jiwe!?
 
HIYO KATUNI NI SAWA SAWA NA MAKALA YA KURASA 100!!!
HONGERA SANA MCHORAJI.
 
Back
Top Bottom