MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Boyfriend zake waliokuwa wanamkaza si wapo?Sikuwahi kumuona sijui picha yake tutapataje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boyfriend zake waliokuwa wanamkaza si wapo?Sikuwahi kumuona sijui picha yake tutapataje.
Hongera umepona na BANBoyfriend zake waliokuwa wanamkaza si wapo?
Ungefuatilia mjadala husika ungeelewa.Mbona mnachagulia awaze nini ?! Cartoon yenyewe haina nembo ya jumuia yoyote !! Mnakereka nini au rangi?!
MAKUBWA
Mbona naona Refa naye wa kwao?CCM wakisaidiwa na glovu nzito za dola wanaingia ulingoni ila wanakutana na kinyago. Then wanafura kwa hasira. I thought walipaswa kufurahi na kuacha kumbugudhi Kipanya
Sisi hatuna shida tunatoa ushauri tu kwa kile kilichojiri na katuni yake. Hatutaki aingie kwenye matatizo bila sababu.Kwani wewe umeelewa nini kwenye hiyo katuni...????
Sifahamu huyo unayemwita Jiwe. Lakini Kipanya si mwanasiasa.Kama siasa ni mbaya sana mbona humshauri jiwe aache siasa,
Katika ulimwengu wa waliostaarabika matusi hayana nafasi hata kidogo. Tutawaachia JF yenu mtukane mnavyopenda.Hakika upo kifungoni, achore za maendeleo wakati hajaziona?.
Huo ni ujinga na matumizi mabaya ya ubongo, muuweni kwakua kafikisha ujumbe.
Mpumbafu kabisa wewe umeona ni sahihi yanayofanyika?.
Angalia comments zangu tangu mwanzo ktk uzi huuUngefuatilia mjadala husika ungeelewa.
ni mteule wa mungu mkuuWatanzania tulidanganywa JIWE hakustahili kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi kumi!
we kijana unatutafutaNjano kachonga sanamu;alafu analiletea hasira sanamu lake;mimi ndio tafsiri niliyoiona.
Ni hivi yanga wanajifanya mabingwa huku wana tafuta timu za chekechea na kuzifunga ,wapambane na simbaMimi sijaielewa hiyo katuni, aliyeielewe anijulishe maana yake
Angalia bado unalazimishia watu wawe kama wewe!🙂
Wewe nitajie Taifa moja lilokuwa na wananchi waoga kama sisi na likapata maendeleo. Kumpa huyo mtu wako ukichaa na wakati yuko ikulu ndo ukichaa wenyewe huo kuliko hata kichaa mwenyewe.Dunia haina historia nzuri kwa vichaa kama jiwe, ntajie mmoja!
Unatajataja dunia na huku hata haufahamu historia yake kama jiwe aliyesema Saddam Hussein wa Kuwait halafu mkapampa urais!Maybe kwasababu alitumwatumwa na JK kwenye hizo wizara, utafiti wa utomvu wa korosho na kukariri?! Very stupid!
Yeye ni cartoonist ataishije sasa?Katuni za Masoud asilimia kubwa zinahusu Siasa kwa upande wa Serikali na Chama Tawala.
Angekubali tu kuwa mjinga anyoshe mikono juu.
Alisema profesa Mwandosya mkamdharauWatanzania tulidanganywa JIWE hakustahili kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi kumi!
Wewe hata swali haujalielewa! Swali lilihusu mwisho wao. Hao wote bado wako madarakani. Halafu Kenyatta muondoe hapo fasta! Acha utani kama uko serious! Philiphines under Marcos Duterte unaongelea as if it is history already? na wakati yuko madarakani bado kaingia juzi tu kama jiwe! Hao wengine ulionitajia wafalme unafanisha na ufalme upi Tanzania?Spain under General Franco, Philippines under Marcos ilikuwa na uchumi mkubwa kuishinda South Korea, Malesia, Thailand. Kenya under Jomo Kenyatta, Tunisia under Burghiba, Saudi Arabia under all kings , NA nyingi zingine