Tetesi: Kipanya apigiwa simu na kuambiwa afute katuni hii haraka

Tetesi: Kipanya apigiwa simu na kuambiwa afute katuni hii haraka

watakuwa ni watu wa Chadema wenye kujihisi kama mifupa ya marehemu
 
Huyu Kipanya japo anapenda kazi yake ila kwa sasa namshauri angechora Wasanii tu.
afanye tu kama millard ayo, siku hizi kwenye kurasa zake anapost vitu vya kijinga kijinga...vitu vingine ni kujiongeza.
IMG_20180817_002343.jpg
IMG_20180817_002331.jpg
IMG_20180817_002318.jpg
IMG_20180817_002246.jpg
IMG_20180817_002301.jpg
 
Nimeona rangi za yanga akijiandaa kumtwika makomde mawenzi fc hapo mi ndo nilichokielewa.
 
Yanga wana timu ya dondi? Acheni mambo yenu. Kama ameambiwa afute aifute tu. Si hakuwa na nia mbaya! Aifute tu. Huo ni uungwana. Kuna mmoja kamshauri humu ajikite na sanaa aache siasa. Siasa ni mbaya sana. "Zinamuumiza" Abutreka huko Misri. Yule mkimbiaji wa Ethiopia kaambiwa arudi nyumbani lakini anasita. "Alipinda" mikono yake "kisiasa" alipomaliza mbio huko Brazil. Akawaudhi watu kule kwao akashindwa kurudi. Msanii huyu achore katuni za kimaendeleo, kisanaa na kiburdani apate pesa ale na familia yake. Siasa mbaya sana.
Ccm ina timu ya ndondi? Acha uffala wewe
 
Yanga wana timu ya dondi? Acheni mambo yenu. Kama ameambiwa afute aifute tu. Si hakuwa na nia mbaya! Aifute tu. Huo ni uungwana. Kuna mmoja kamshauri humu ajikite na sanaa aache siasa. Siasa ni mbaya sana. "Zinamuumiza" Abutreka huko Misri. Yule mkimbiaji wa Ethiopia kaambiwa arudi nyumbani lakini anasita. "Alipinda" mikono yake "kisiasa" alipomaliza mbio huko Brazil. Akawaudhi watu kule kwao akashindwa kurudi. Msanii huyu achore katuni za kimaendeleo, kisanaa na kiburdani apate pesa ale na familia yake. Siasa mbaya sana.
Nonsense!!
 
Mimi ningekataa na kusema ni timu ya Yanga inajifua huko morogoro baada ya kukosa pesa za kambi na vifaa kwenda uturuki!!!
Kweli we ni mtoto na watoto wenzio waliokupa likes..yanga wameanza lini kupigana ngumi na gloves mkononi..?
 
Mtu asiye julikana alimpigia simu akamwambia irudishe upesi, baada ya yeye (mtu asiyejulikana) kubaini kwamba watu wanaojulikana wameshtuka...

Source: mawazo binafsi.
 
Spain under General Franco, Philippines under Marcos ilikuwa na uchumi mkubwa kuishinda South Korea, Malesia, Thailand. Kenya under Jomo Kenyatta, Tunisia under Burghiba, Saudi Arabia under all kings , NA nyingi zingine
Marcos Ferdinand yupi unayemzungumzia?! Ni yule yule ambae pamoja na kuanza vizuri lakini akaja kuiacha Ufilipino na mzigo wa madeni ambapo national debt ilipanda mara 10!!!

Asian Tigers... unaifahamu hii?! Je, The Philippines ilikuwa among the Asian Tigers?!

Francisco Franco... Spain Dictator from Western Europe!! Kwanini Western European Country unajaribu kulinganisha na nchi za Asia and possibly Africa?! Kwanini usitolee Spain under Dictatorship and UK, German, France and the like?!

All in all, am happy ninapoona watu wanajaribu ku-justify utawala wa Magu na ule wa watu kama akina Marcos Ferdinand... the most corrupt administration in the history of the Philippines in recent years!!!
 
Kweli sasa ccm imeingiwa na kiwewe!
nec ya ccm
mapolisi ni wa ccm
tiss ni wa ccm
Cha ajabu sasa mnaogopa hadi vikaton! hahahaaaaaaaaaaaaaa! sikio la kufa.................
 
Inasemekana watu wasiofahamika wamempigia Kipanya simu kumtaka afute katuni hii kwenye akaunti zake za kijamii, kipanya aliitikia wito na kuifuta lakini baadae alibadilisha mawazo na kuirudisha tena
Acha ramli chonganishi
 
Back
Top Bottom