Tetesi: Kipanya apigiwa simu na kuambiwa afute katuni hii haraka

Tetesi: Kipanya apigiwa simu na kuambiwa afute katuni hii haraka

Wewe una msaada gani zaidi ya kujaza server za JF.
Kipanya ana watu wanaomzunguka ni Kaka, Baba, Mjomba na Rafiki au Ndugu kwa watu sasa leo usishadadie awe Jasiri katika kile afanyacho ile hali hata ikitokea kapotea au kadhurika hautakuwa na msaada zaidi ya #Hashtag.

Usidhani kupiga kelele mbele ya mtutu ni Ujasiri, unaweza kuwa mwendawazimu kama utafurahi mwenzako aingie matatizo kisa ushabiki wako wa Kipuuzi.

Tumia hata ufahamu kidogo kung'amua mambo usiwe kama Mbuzi hata wakati wa kukamulia unapangwa ukae vipi.
 
Kipanya ana watu wanaomzunguka ni Kaka, Baba, Mjomba na Rafiki au Ndugu kwa watu sasa leo usishadadie awe Jasiri katika kile afanyacho ile hali hata ikitokea kapotea au kadhurika hautakuwa na msaada zaidi ya #Hashtag.

Usidhani kupiga kelele mbele ya mtutu ni Ujasiri, unaweza kuwa mwendawazimu kama utafurahi mwenzako aingie matatizo kisa ushabiki wako wa Kipuuzi.

Tumia hata ufahamu kidogo kung'amua mambo usiwe kama Mbuzi hata wakati wa kukamulia unapangwa ukae vipi.
Katuni anazichora ndio ajira yake sasa wewe unamshauri asichore, utamsaidia kutunza familia yake
 
Kama wewe ulivo mjinga sio
Yah kama wewe ulivyokuwa Mpumbavu unadhani unaweza kuwa na ujasiri wa kuleta fujo hata kwa mgambo wa jiji.

Leta nyodo zako tukate miguu yako kwa Risasi.... Mnajidai mashujaa ile hali mko ndani si mje kujaribu siku moja muone utimamu wa jeshi la polisi.
 
Bado mtakimbia mpaka vivuli vyenu.....katuni tu inawatoa jasho....
 
Vp uko period nini mbona povu ghafla?
Pumbavu utaendelea kutembelewa na Msisimko wa ujasiri mwilini ila kamwe hautaweza hata kubeba jiwe kuingia barabarani.

Unadhani Kipanya ikitokea amepotea utakuwa na msaada zaidi ya kelele za kusema FreeKipanya mtandaoni!
 
Pumbavu utaendelea kutembelewa na Msisimko wa ujasiri mwilini ila kamwe hautaweza hata kubeba jiwe kuingia barabarani.

Unadhani Kipanya ikitokea amepotea utakuwa na msaada zaidi ya kelele za kusema FreeKipanya mtandaoni!
Dada ni Menstrual Period tu inakupa izo mood swings au kuna lingine dada angu?

Sijaona sababu ya kunimwagia mapovu yote hayo.
Samahani Sana

Guess, It was the wrong time to bring it up!
 
Dada ni Menstrual Period tu inakupa izo mood swings au kuna lingine dada angu?

Sijaona sababu ya kunimwagia mapovu yote hayo.
Samahani Sana

Guess, It was the wrong time to bring it up!
Sawa kama unajua unapata mimba mapema usiwe unasogelea mabandiko ya wanaume.

Jifunze kupita sio kila ukiona bandiko la mtu lazima uchangie utajikuta una watoto wasio na Baba.
 
Back
Top Bottom