Tetesi: Kipanya apigiwa simu na kuambiwa afute katuni hii haraka

Tetesi: Kipanya apigiwa simu na kuambiwa afute katuni hii haraka

Masudi kipanya ni mnafiki na mchonganishi tuu....wewe kwanza mtoa mada na huyo Masoud wako mna uhakika gani walio wapigia simu ni watu mnaotaka tuamini? Masoud aache kuchafua watu
Mimi nimesema ni watu gani kwani?
 
Una ushahidi gani. Kwanini tusifikirie kama ni kiki. Mana Kipanya Heri awe anachora arguments zake na maswali yake yako so childish and biased hadi kichefu kichefu ni as if kajua watz wengi wasiosoma wanapenda vimada vya kama vile vya shule ya secondary na Mwalimu mkuu. Anayeonyesha kumpinga Mwalimu mkuu basi anakuwa kiongozi. Stupidity.
Nimesema inasemekana boss, mbona povu jingi?
 
Watanzania tulidanganywa JIWE hakustahili kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi kumi!
Ilitakiwa itokee hivi ili akili zitukae sawa. Hata ongoza milele ila kumbukumbu zake zitaishi mpaka vizazi vijavyo na zitakua reference
 
Masudi kipanya ni mnafiki na mchonganishi tuu....wewe kwanza mtoa mada na huyo Masoud wako mna uhakika gani walio wapigia simu ni watu mnaotaka tuamini? Masoud aache kuchafua watu
Masudi Kipanya Kamchonganisha nani na nani?
 
Yanga wana timu ya dondi? Acheni mambo yenu. Kama ameambiwa afute aifute tu. Si hakuwa na nia mbaya! Aifute tu. Huo ni uungwana. Kuna mmoja kamshauri humu ajikite na sanaa aache siasa. Siasa ni mbaya sana. "Zinamuumiza" Abutreka huko Misri. Yule mkimbiaji wa Ethiopia kaambiwa arudi nyumbani lakini anasita. "Alipinda" mikono yake "kisiasa" alipomaliza mbio huko Brazil. Akawaudhi watu kule kwao akashindwa kurudi. Msanii huyu achore katuni za kimaendeleo, kisanaa na kiburdani apate pesa ale na familia yake. Siasa mbaya sana.
Kwa hiyo serikali au ccm ina timu ya ndondi??
 
Haina tofauti na hii hapa
 

Attachments

  • 74103AF5-0290-4998-BD60-BBCEAC710B99.jpeg
    74103AF5-0290-4998-BD60-BBCEAC710B99.jpeg
    93.7 KB · Views: 53
Tunamshauri tu msanii aepuke matatizo yasiyo ya lazima. Mnamshangilia sasa, kuumia ataumia mwenyewe wala hamtakuwepo. Kwa nini mnamdanganya mtu. Si ukae kimya tu. Lazima uchangie? Msimjibie acheni ajibu mwenyewe. Kama wenzako wanakwazika yeye kula hata nyama, Mtume Paulo alisema "Sitakula nyama kamwe". Namfahamu Kipanya. Ni msanii mzuri, mshereheshaji mzuri ni mwezeshaji mzuri wa masuala ya kijamii. Bora angeiweka sanaa yake ku-address masuala mengi ya kijamii na maendeleo. Aiweke kuelimisha jamii juu ya mambo mengi tu yenye tija kuliko mapambano ya kisiasa. Kuna maeneo mengi ya kuiweka sanaa yake hiyo adimu. Kwa mfano anaweza kuwafikia vijana walio na vidonda katika nafsi zao na kutumia sanaa ya uchoraji kuwaletea uponyaji (psycho-social healing). Hiyo imefanyika Ethiopia, Uganda na mahali pengine. Kupambana kisiasa kwa Msanii wetu si mahala pake. Tunamshauri aipeleke mahali panapofaa zaidi. Sio kwenye siasa. Sanaa za kisiasa awaachie wasanii wa kisiasa. Yeye amekwisha jitambulisha na jamii yetu kuwa ni msanii wa kimaendeleo.
Yeye kama msanii kazi yake ni kuchora katuni kutokana na mambo yanayotokea kwenye jamii. Sasa wewe ni nani mpaka umpangie kitu cha kuchora?!
 
Kila kipawa kinahitaji ushauri, malezi na maongozi. Ulimwengu umekuwa na watu wengi wazuri ambao vipawa vyao vilikosa malezi na mashauri na vikaishia njiani. .
Huu ushauri wako ni wa kipuuzi kajipange tena
 
Masudi kipanya ni mnafiki na mchonganishi tuu....wewe kwanza mtoa mada na huyo Masoud wako mna uhakika gani walio wapigia simu ni watu mnaotaka tuamini? Masoud aache kuchafua watu
Vipi alikuchafua huko nyuma kwenye shimo la taka nini?
 
Back
Top Bottom