Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika upo kifungoni, achore za maendeleo wakati hajaziona?.Yanga wana timu ya dondi? Acheni mambo yenu. Kama ameambiwa afute aifute tu. Si hakuwa na nia mbaya! Aifute tu. Huo ni uungwana. Kuna mmoja kamshauri humu ajikite na sanaa aache siasa. Siasa ni mbaya sana. "Zinamuumiza" Abutreka huko Misri. Yule mkimbiaji wa Ethiopia kaambiwa arudi nyumbani lakini anasita. "Alipinda" mikono yake "kisiasa" alipomaliza mbio huko Brazil. Akawaudhi watu kule kwao akashindwa kurudi. Msanii huyu achore katuni za kimaendeleo, kisanaa na kiburdani apate pesa ale na familia yake. Siasa mbaya sana.
Kakuchafua sehemu gani?Masudi kipanya ni mnafiki na mchonganishi tuu....wewe kwanza mtoa mada na huyo Masoud wako mna uhakika gani walio wapigia simu ni watu mnaotaka tuamini? Masoud aache kuchafua watu
Leaning mnataka kumfanya nini na yeyeYanga wana timu ya dondi? Acheni mambo yenu. Kama ameambiwa afute aifute tu. Si hakuwa na nia mbaya! Aifute tu. Huo ni uungwana. Kuna mmoja kamshauri humu ajikite na sanaa aache siasa. Siasa ni mbaya sana. "Zinamuumiza" Abutreka huko Misri. Yule mkimbiaji wa Ethiopia kaambiwa arudi nyumbani lakini anasita. "Alipinda" mikono yake "kisiasa" alipomaliza mbio huko Brazil. Akawaudhi watu kule kwao akashindwa kurudi. Msanii huyu achore katuni za kimaendeleo, kisanaa na kiburdani apate pesa ale na familia yake. Siasa mbaya sana.
[emoji35][emoji40][emoji40][emoji40]Haswaa umesadiki maneno ya waitaraView attachment 837606
Inasemekana watu wasiofahamika wamempigia Kipanya simu kumtaka afute katuni hii kwenye akaunti zake za kijamii, kipanya aliitikia wito na kuifuta lakini baadae alibadilisha mawazo na kuirudisha tena
View attachment 837454View attachment 837454
Kwahivo wewe ni mjinga ndomana unamshauri naye awe mjinga au??Katuni za Masoud asilimia kubwa zinahusu Siasa kwa upande wa Serikali na Chama Tawala.
Angekubali tu kuwa mjinga anyoshe mikono juu.
Kwahivo wewe ni mjinga ndomana unamshauri naye awe mjinga au??
Itakua ni wale makomandoo wa yangaKwani waliompigia simu ni CCM?
Na tulivyo kama Rais Trampo alivyotuambia Ukweli Atarudishwa kwa Awamu nyingine.Watanzania tulidanganywa JIWE hakustahili kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi kumi!
Jiwe linaogopa mpaka katuni. Coward
Unasema Mange aliwaambia? Wakina nani? Wataje na wewe jitaje kwa kijitofautisha na hao walioambiwa.Usidhani kuchukua tahadhari ni Uoga, kuna watu wa aina mbili hapa duniani.
1: Watu wanaopokea maelekezo na kuyafanyia kazi.
2: Watu wanaotekelezewa Maelekezo.
Ukiwa mtu Namba 2 basi yakufaa uishi kwa tahadhari sana ili uweze kufanya kusudio lako, Siku Mange anawaambia mtoke barabarani mlitoka?
Watanzania sio waoga bali wanachukua Tahadhari.
Katuni za kisanii zikoje. Kwasababu yeye ni msanii...artist cartoonist. This is his style.Yanga wana timu ya dondi? Acheni mambo yenu. Kama ameambiwa afute aifute tu. Si hakuwa na nia mbaya! Aifute tu. Huo ni uungwana. Kuna mmoja kamshauri humu ajikite na sanaa aache siasa. Siasa ni mbaya sana. "Zinamuumiza" Abutreka huko Misri. Yule mkimbiaji wa Ethiopia kaambiwa arudi nyumbani lakini anasita. "Alipinda" mikono yake "kisiasa" alipomaliza mbio huko Brazil. Akawaudhi watu kule kwao akashindwa kurudi. Msanii huyu achore katuni za kimaendeleo, kisanaa na kiburdani apate pesa ale na familia yake. Siasa mbaya sana.
Mnaogopa cartoon? Halafu hii ni mara ya pili ndani ya miaka miwili kuogopa katuni. WtFKwani waliompigia simu ni CCM?