Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
basi yakwetu hayakuhusu....Afrika ya Mashariki Kiswahili kinaongelewa karibu Nchi zote na ushidhani Kiswahili ni kutambulisho cha Uraia wa Tanzania.
Una ufahamu finyu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi yakwetu hayakuhusu....Afrika ya Mashariki Kiswahili kinaongelewa karibu Nchi zote na ushidhani Kiswahili ni kutambulisho cha Uraia wa Tanzania.
Una ufahamu finyu sana.
Kwani waliompigia simu ni CCM? Ni watu waungwana tu wanaomtakia mema msanii huyo.Kwani CCM Wana timu ya Ndondi ?
basi yakwetu hayakuhusu....
sina hasira na nchi yangu nnahasira na intruders wanaoharibu nchi yangu... hata hivyo tunajua tunavyo sort mambo yetu vizuri... si unafahamu historia ya tz vizuriEndelea kujaza Hasira kwenye Nchi yako utapasuka na hasira zako hauna pa kuzipeleka.
sina hasira na nchi yangu nnahasira na intruders wanaoharibu nchi yangu... hata hivyo tunajua tunavyo sort mambo yetu vizuri... si unafahamu historia ya tz vizuri
HahahaMimi ningekataa na kusema ni timu ya Yanga inajifua huko morogoro baada ya kukosa pesa za kambi na vifaa kwenda uturuki!!!
vip umepona lakini na bomoa bomoa huko kwenu?/Kwahiyo unataka kusema unatafuta uhuru wa pili?
Sawasawa!kwangu mimi huyu ni kijana..
vip umepona lakini na bomoa bomoa huko kwenu?/
ok hongeraKakamega hakuna Bomoabomoa.
Tunamshauri tu msanii aepuke matatizo yasiyo ya lazima. Mnamshangilia sasa, kuumia ataumia mwenyewe wala hamtakuwepo. Kwa nini mnamdanganya mtu. Si ukae kimya tu. Lazima uchangie? Msimjibie acheni ajibu mwenyewe. Kama wenzako wanakwazika yeye kula hata nyama, Mtume Paulo alisema "Sitakula nyama kamwe". Namfahamu Kipanya. Ni msanii mzuri, mshereheshaji mzuri ni mwezeshaji mzuri wa masuala ya kijamii. Bora angeiweka sanaa yake ku-address masuala mengi ya kijamii na maendeleo. Aiweke kuelimisha jamii juu ya mambo mengi tu yenye tija kuliko mapambano ya kisiasa. Kuna maeneo mengi ya kuiweka sanaa yake hiyo adimu. Kwa mfano anaweza kuwafikia vijana walio na vidonda katika nafsi zao na kutumia sanaa ya uchoraji kuwaletea uponyaji (psycho-social healing). Hiyo imefanyika Ethiopia, Uganda na mahali pengine. Kupambana kisiasa kwa Msanii wetu si mahala pake. Tunamshauri aipeleke mahali panapofaa zaidi. Sio kwenye siasa. Sanaa za kisiasa awaachie wasanii wa kisiasa. Yeye amekwisha jitambulisha na jamii yetu kuwa ni msanii wa kimaendeleo.Nenda kachukue buku 7 yako
Kuwapangia wasanii kazi zao kama umewaajiri sio sawa!! Umewaajiri?! Unawalipa posho kukupromote!?? Nigger please. [emoji19] [emoji19]Yanga wana timu ya dondi? Acheni mambo yenu. Kama ameambiwa afute aifute tu. Si hakuwa na nia mbaya! Aifute tu. Huo ni uungwana. Kuna mmoja kamshauri humu ajikite na sanaa aache siasa. Siasa ni mbaya sana. "Zinamuumiza" Abutreka huko Misri. Yule mkimbiaji wa Ethiopia kaambiwa arudi nyumbani lakini anasita. "Alipinda" mikono yake "kisiasa" alipomaliza mbio huko Brazil. Akawaudhi watu kule kwao akashindwa kurudi. Msanii huyu achore katuni za kimaendeleo, kisanaa na kiburdani apate pesa ale na familia yake. Siasa mbaya sana.
Ndoto ya mchana. Shida haitaisha mpaka ufe mkuu!!Tatizo wadanganyika wengi hamuamini kuwa ADUI wa Nchi yetu ni cccm Siku watu wote tukimjua basi matatizo ya Nchi hii yatapungua kama sio kwisha kabisa...
Kila kipawa kinahitaji ushauri, malezi na maongozi. Ulimwengu umekuwa na watu wengi wazuri ambao vipawa vyao vilikosa malezi na mashauri na vikaishia njiani. .Kuwapangia wasanii kazi zao kama umewaajiri sio sawa!! Umewaajiri?! Unawalipa posho kukupromote!?? Nigger please. [emoji19] [emoji19]