Tetesi: Kipanya apigiwa simu na kuambiwa afute katuni hii haraka

Tetesi: Kipanya apigiwa simu na kuambiwa afute katuni hii haraka

Usidhani kuchukua tahadhari ni Uoga, kuna watu wa aina mbili hapa duniani.

1: Watu wanaopokea maelekezo na kuyafanyia kazi.

2: Watu wanaotekelezewa Maelekezo.

Ukiwa mtu Namba 2 basi yakufaa uishi kwa tahadhari sana ili uweze kufanya kusudio lako, Siku Mange anawaambia mtoke barabarani mlitoka?

Watanzania sio waoga bali wanachukua Tahadhari.
why mkuu?au wasanii ni soft targets;acha woga na freedom of speech ni haki yetu,unakatisha kuona pamoja na kuwa middle class citizen una woga kama watu wa hapa kwetu LINGUSENGUSE.
 
Hapo si amewachora yanga?

Yanga wana timu ya dondi? Acheni mambo yenu. Kama ameambiwa afute aifute tu. Si hakuwa na nia mbaya! Aifute tu. Huo ni uungwana. Kuna mmoja kamshauri humu ajikite na sanaa aache siasa. Siasa ni mbaya sana. "Zinamuumiza" Abutreka huko Misri. Yule mkimbiaji wa Ethiopia kaambiwa arudi nyumbani lakini anasita. "Alipinda" mikono yake "kisiasa" alipomaliza mbio huko Brazil. Akawaudhi watu kule kwao akashindwa kurudi. Msanii huyu achore katuni za kimaendeleo, kisanaa na kiburdani apate pesa ale na familia yake. Siasa mbaya sana.
 
Yanga wana timu ya dondi? Acheni mambo yenu. Kama ameambiwa afute aifute tu. Si hakuwa na nia mbaya! Aifute tu. Huo ni uungwana. Kuna mmoja kamshauri humu ajikite na sanaa aache siasa. Siasa ni mbaya sana. "Zinamuumiza" Abutreka huko Misri. Yule mkimbiaji wa Ethiopia kaambiwa arudi nyumbani lakini anasita. "Alipinda" mikono yake "kisiasa" alipomaliza mbio huko Brazil. Akawaudhi watu kule kwao akashindwa kurudi. Msanii huyu achore katuni za kimaendeleo, kisanaa na kiburdani apate pesa ale na familia yake. Siasa mbaya sana.
Kwani CCM ina timu ya masumbwi?
 
Back
Top Bottom