Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni YangaKwani waliompigia simu ni CCM?
Ni kipaji chaka alichojaaliwa na mnyaazi Mungu. Au ulitaka ionekane Yanga inapambana Brazil ?!Omera unaweza kuchora hizo katuni wewe?
[emoji23] [emoji23] Yanga na Brazil, Sasa Brazil gani ana mguu mmoja.Ni kipaji chaka alichojaaliwa na mnyaazi Mungu. Au ulitaka ionekane Yanga inapambana Brazil ?!
Ushangae alielazwa hospital kwa kushambuliwa visu ndio anashtakiwa kwa shambulio !!. Mbunge anashambuliwa mbele ya OCD kwa kipigo na kutemewa makohozi lakini hakuna hatua zozote.[emoji23] [emoji23] Yanga na Brazil, Sasa Brazil gani ana mguu mmoja.
kiukweli nakereka na hizi koment za aina hii.... kwann watanzania mmekata tamaa hivi??Katuni za Masoud asilimia kubwa zinahusu Siasa kwa upande wa Serikali na Chama Tawala.
Angekubali tu kuwa mjinga anyoshe mikono juu.
Ushangae alielazwa hospital kwa kushambuliwa visu ndio anashtakiwa kwa shambulio !!. Mbunge anashambuliwa mbele ya OCD kwa kipigo na kutemewa makohozi lakini hakuna hatua zozote.
Cartoon hiyo inafaa na somo kwa mwenye akili asiye mnafiki [emoji120]
Imeeleweka uzuri tuInasemekana watu wasiofahamika wamempigia Kipanya simu kumtaka afute katuni hii kwenye akaunti zake za kijamii, kipanya aliitikia wito na kuifuta lakini baadae alibadilisha mawazo na kuirudisha tena
View attachment 837454View attachment 837454
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Endelea kukereka aliyekwambia mimi Mtanzania nani?kiukweli nakereka na hizi koment za aina hii.... kwann watanzania mmekata tamaa hivi??
Atiyo nyaka sani [emoji12] .Omera dhi e tich.
Nenda kachukue buku 7 yakoYanga wana timu ya dondi? Acheni mambo yenu. Kama ameambiwa afute aifute tu. Si hakuwa na nia mbaya! Aifute tu. Huo ni uungwana. Kuna mmoja kamshauri humu ajikite na sanaa aache siasa. Siasa ni mbaya sana. "Zinamuumiza" Abutreka huko Misri. Yule mkimbiaji wa Ethiopia kaambiwa arudi nyumbani lakini anasita. "Alipinda" mikono yake "kisiasa" alipomaliza mbio huko Brazil. Akawaudhi watu kule kwao akashindwa kurudi. Msanii huyu achore katuni za kimaendeleo, kisanaa na kiburdani apate pesa ale na familia yake. Siasa mbaya sana.
Atiyo nyaka sani [emoji12] .
To into itimo ang'o ka?!
Uketho pinywani!! Tarime nyocha olou to ukao gi thuon!! Ne kaka ukedo gi jo mwandu!! Waketo wang'wa. Piny osiko to AK sikie [emoji120] [emoji40]Anindo awuoro kaka Piny wani dhi.
Kwani CCM Wana timu ya Ndondi ?Yanga wana timu ya dondi? Acheni mambo yenu. Kama ameambiwa afute aifute tu. Si hakuwa na nia mbaya! Aifute tu. Huo ni uungwana. Kuna mmoja kamshauri humu ajikite na sanaa aache siasa. Siasa ni mbaya sana. "Zinamuumiza" Abutreka huko Misri. Yule mkimbiaji wa Ethiopia kaambiwa arudi nyumbani lakini anasita. "Alipinda" mikono yake "kisiasa" alipomaliza mbio huko Brazil. Akawaudhi watu kule kwao akashindwa kurudi. Msanii huyu achore katuni za kimaendeleo, kisanaa na kiburdani apate pesa ale na familia yake. Siasa mbaya sana.
kweli wewe zirooo, hata uraia wako huujui!![emoji23] [emoji23] [emoji23] Endelea kukereka aliyekwambia mimi Mtanzania nani?
Wewe ambaye hujakataa tamaa endelea kufanya kilicho sahihi kwako usitake kila mtu awe kama wewe.
Uketho pinywani!! Tarime nyocha olou to ukao gi thuon!! Ne kaka ukedo gi jo mwandu!! Waketo wang'wa. Piny osiko to AK sikie [emoji120] [emoji40]
Afrika ya Mashariki Kiswahili kinaongelewa karibu Nchi zote na ushidhani Kiswahili ni kutambulisho cha Uraia wa Tanzania.kweli wewe zirooo, hata uraia wako huujui!!