Tetesi: Kipanya apigiwa simu na kuambiwa afute katuni hii haraka

Watu mnapenda Sana kulalamika ovyo ovyo mnauhakika gani na hyo taarifa Kama ni yakweli au sio ya kweli?
Je huyo aliyebandika hyo thread ndio kipanya mwenyewe
 
[emoji23] [emoji23] Yanga na Brazil, Sasa Brazil gani ana mguu mmoja.
Ushangae alielazwa hospital kwa kushambuliwa visu ndio anashtakiwa kwa shambulio !!. Mbunge anashambuliwa mbele ya OCD kwa kipigo na kutemewa makohozi lakini hakuna hatua zozote.

Cartoon hiyo inafaa na somo kwa mwenye akili asiye mnafiki [emoji120]
 
Omera dhi e tich.
Ushangae alielazwa hospital kwa kushambuliwa visu ndio anashtakiwa kwa shambulio !!. Mbunge anashambuliwa mbele ya OCD kwa kipigo na kutemewa makohozi lakini hakuna hatua zozote.

Cartoon hiyo inafaa na somo kwa mwenye akili asiye mnafiki [emoji120]
 
Nenda kachukue buku 7 yako
 
Kwani CCM Wana timu ya Ndondi ?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Endelea kukereka aliyekwambia mimi Mtanzania nani?

Wewe ambaye hujakataa tamaa endelea kufanya kilicho sahihi kwako usitake kila mtu awe kama wewe.
kweli wewe zirooo, hata uraia wako huujui!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…