Kipengele cha kuwabeba Polisi wasishtakiwe katika Muswada mpya chafutwa na Serikali

Kipengele hicho ni hatari sana kuwepo maana wangekuwa wanaua mchana kweupe,big up Mh SSH kwa kuliona!
 
Miwani Ya Mama Imeona Dosari Kuwa Hawa Watu Wanaweza Kutumia
Kula Kwa Urefu Wa Kamba Vibaya Sana
Sasa Amekitoa
 
Umemuona mwenye akili yeyote anashangilia huo utopolo? Kwani aliyeandaa huo Muswada ni nani kama siyo yeye kupitia organs zake na kuupitia akiwa Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri na kuubariki? Leo tuanze kumsifu mtu aliyeandika na kufuta?
 
gazeti lote la nini
 
Ina maana siku hizi process za utungaji wa sheria zimebadilishwa? Kwamba Rais anatoa tu maagizo kuwa sheria ipite au isipite bungeni?
Is it that legislation process has been that much compromised?!
 
Hawa ni wabunge wa serikali....hivyo chochote kitakacholetwa lazima kipite tu.
 
Feleshi ni laana kwa taifa
 
Mpuuzi wewe fuata katiba na mumeo, kuna mtu anafuata katiba nchi hii?
 
Mama nimekupenda bure. Umefanya kitu kizuri maana hiki kipengele kilikuwa kimehalalisha ugaidi wa polisi dhidi ya kila mtu ukiwemo wewe mama hangaya. Heko muheshimiwa karibu kwangu update chai kesho hapa buseresere
Bila ya watu kupiga kelele kwenye mitandao ya kijamii angenyamaza huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…