Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaona hapo hajakurupuka?Huyu mama sio mkurupukaji kama lile jamaa
....Hii ni IBADA TOSHA...asante sana umenigusaPunguza sana chuki,uta chizika mapema sana! Maisha ya Mwandaamu ni mipango yake Mola!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hata Humphrey Polepole alikuwa amekipitisha?View attachment 2113292
===
Kelele zety za kupinga kipengele kinachotaka Polisi awapo kwenye majukumu yake na akitenda jinai asishitakiwe kimemfikia Rais Samia Suluhu Hassan na tayari amemuagiza AG Feleshi kukichomoa kifungu hicho.
Sasa muswada wa Sheria ya Marekebisho mbalimbali Na.7 uliopitishwa jana na Bunge utafanyiwa marekebisho.
Sasa ni rasmi Serikali imefuta Ibara ya 24 iliyokuwa inapendekeza kifungu kipya 47A.
Lengo la kifungu hiki lilikuwa ni kutoa mamlaka kwa Polisi kufanya operesheni za kificho kwa madhumuni ya kuzuia utendaji wa makosa - AG Feleshi, alilieleza Bunge
Huu mswada uliandaliwa kipindi cha mwendazakeJe unadhani huo mswada ulienda Bungeni bila Rais na Baraza la Mawaziri kujua?
Kitendo bila kuchelewa.Wewe unaona hapo hajakurupuka?
Mswaada bado uko bungeni yeye anaagiza kifutwe wakati bado faili halijamfikia?
Kupiga kelele kwa watu wasiostahili ni utovu wa nidhamu,humu ndani watu walikomaa ooh Rais afute nikawa nawajibu badala wawaambie walioko Bungeni wanakuja kwa Rais as if Rais yuko Bungeni kujadili mswaada.View attachment 2113292
===
Kelele zetu za kupinga kipengele kinachotaka Polisi awapo kwenye majukumu yake na akitenda jinai asishitakiwe kimeifikia Serikali na tayari AG Feleshi amesema kifungu hicho chote cha 47A kimeondolewa kwenye muswada.
Sasa muswada wa Sheria ya Marekebisho mbalimbali Na.7 uliopitishwa jana na Bunge umefanyiwa marekebisho.
Sio mama,kuna wabunge kule tena wanasheria,mama yuko Bungeni?Miwani Ya Mama Imeona Dosari Kuwa Hawa Watu Wanaweza Kutumia
Kula Kwa Urefu Wa Kamba Vibaya Sana
Sasa Amekitoa
Mwendelezo wa yaleyale,unatengeneza tatizo halafu unalitatua na vigelegele unapigiwa!Si ndio kama Yale mambo ya kikokotoo yalivyokuwa!Mama nimekupenda bure. Umefanya kitu kizuri maana hiki kipengele kilikuwa kimehalalisha ugaidi wa polisi dhidi ya kila mtu ukiwemo wewe mama hangaya. Heko muheshimiwa karibu kwangu update chai kesho hapa buseresere
Wabunge ni mapoyoyo tu!Si ndio wao walipitisha tozo,kikokotoo?Wao wanajua jambo linaloletwa na serikali kazi Yao ni kusema ndiooooooo!Sio mama,kuna wabunge kule tena wanasheria,mama yuko Bungeni?
Wapiga kura wanawawajibishaje hao wawakilishi wao??Kwa hiyo, kwanza kilipitishwa na Bunge (maana yake wabunge hawakuona umuhimu wa kukiboresha) hadi Rais asikie kilio cha wananchi? Kama ni kweli, then naona hapa wabunge wametukosea sana kama wawakilishi wetu.
Ndiyo maana kilitakiwa kile kipengele cha 'Katiba ya Warioba' kuhusu wapiga kura kuwaajibisha wawakilishi wao (wabunge wa kuchaguliwa) kiwekwe kwenye Katiba yetu ya sasa au kama tukiwa na Katiba Mpya kirejeshwe maana kiliondolewa kwenye ile Katiba iliyopendekezwa kwa wakati ule iliyokuwa ikijulikana kwa jina la "Katiba iliyochakachuliwa".
Wale wabunge hawaki kwa ajili ya wananchi.tusijidanganye kabisa.Kwa hiyo, kwanza kilipitishwa na Bunge (maana yake wabunge hawakuona umuhimu wa kukiboresha) hadi Rais asikie kilio cha wananchi? Kama ni kweli, then naona hapa wabunge wametukosea sana kama wawakilishi wetu.
Ndiyo maana kilitakiwa kile kipengele cha 'Katiba ya Warioba' kuhusu wapiga kura kuwaajibisha wawakilishi wao (wabunge wa kuchaguliwa) kiwekwe kwenye Katiba yetu ya sasa au kama tukiwa na Katiba Mpya kirejeshwe maana kiliondolewa kwenye ile Katiba iliyopendekezwa kwa wakati ule iliyokuwa ikijulikana kwa jina la "Katiba iliyochakachuliwa".
Mmmmh .. Tunapigwa na kitu kizito.Kitendo bila kuchelewa.
Rais ni sehemu ya Bunge, kwa hiyo alichofanya ni sahihi
Hili bunge bandia, ni vema lingefutwa. Kwenye kipindi hiki cha mpito, mambo yote yasimamiwe na Serikali maana hatuoni umuhimu wa bunge.Wabunge lazima wawe na aibu kuwa wanategemea kila kitu RAIS awape mungozo wa nini kina faida kwa wananchi katika maamuzi yao! Mnakula mshahara mkubwa bila Kufanya kazi mnayostahili kufanya ; you should be ashamed!! HONGERA Rais kwa marekebisho hayo ya sheria!
Aisee!Hivi ilikuwaje Tanzania mpaka tukatawaliwa na Firauni, laanatullah, mwehu Magufuli?