Kipengele cha kuwabeba Polisi wasishtakiwe katika Muswada mpya chafutwa na Serikali

Raisi kaagiza bunge mojawapo ya idara ya serikali... Au alipelekewa mswada akakataa!??
 
Hata Humphrey Polepole alikuwa amekipitisha?
Kweli Bunge letu limejaa wanafiki.
 
Kupiga kelele kwa watu wasiostahili ni utovu wa nidhamu,humu ndani watu walikomaa ooh Rais afute nikawa nawajibu badala wawaambie walioko Bungeni wanakuja kwa Rais as if Rais yuko Bungeni kujadili mswaada.
 
Mama nimekupenda bure. Umefanya kitu kizuri maana hiki kipengele kilikuwa kimehalalisha ugaidi wa polisi dhidi ya kila mtu ukiwemo wewe mama hangaya. Heko muheshimiwa karibu kwangu update chai kesho hapa buseresere
Mwendelezo wa yaleyale,unatengeneza tatizo halafu unalitatua na vigelegele unapigiwa!Si ndio kama Yale mambo ya kikokotoo yalivyokuwa!
 
Sio mama,kuna wabunge kule tena wanasheria,mama yuko Bungeni?
Wabunge ni mapoyoyo tu!Si ndio wao walipitisha tozo,kikokotoo?Wao wanajua jambo linaloletwa na serikali kazi Yao ni kusema ndiooooooo!
Taarifa ya AG inasema serikali imeamua kufuta kipengele chote Cha 47!
Kwa akili Yako serikali ni Bunge?
 
Wapiga kura wanawawajibishaje hao wawakilishi wao??

Ni nani anaetoa muongozo wa namna ya kuwawajibisha hao wawakilishi??

Ni mambo gani ambayo wapiga kura watawawajibisha wawakilishi wao kwayo??

Baada ya uwajibishwaji, ni nini kitafuata?? Kama uwajibishwaji maana yake ni kufukuzwa ubunge, je tunachagua mbunge mwengine AMA la??

Ndani ya jimbo moja, je wananchi watawawajibisha wapiga kura mara ngapi ndani ya kipindi cha miaka 5??
 
Scandalous!
Wabunge wanaitikia wote ndiyooooo, hawa ndiyo wanaowakilisha wananchi
Wananchi wanaitikia wote siyoooooo!

Paskali naye anakuja na hoja za Spika Bora😆😁
Bongo siyo pakuhama
 
Wale wabunge hawaki kwa ajili ya wananchi.tusijidanganye kabisa.
 
Kwa hapa,mama amefanya jambo jema sana.
 
Hili bunge bandia, ni vema lingefutwa. Kwenye kipindi hiki cha mpito, mambo yote yasimamiwe na Serikali maana hatuoni umuhimu wa bunge.
 
Anaandaa tatizo alafu analitatua mwenyewe.
Wasio ona mbali wanashangilia.
 
Anaandaa tatizo alafu analitatua mwenyewe.
Wasio ona mbali wanashangilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…