Kipengele cha kuwabeba Polisi wasishtakiwe katika Muswada mpya chafutwa na Serikali

Bila kuwaingiza wapinzani Bungeni, TANZANIA HAITOBOI. Hapa watahangaika tuna kucheza danadana na kufanya kazi kwa matukio badala ya kubadili sheria mbovu nyingi tu zilizopo sasa hivi. Sheria hizi zinachelewesha maendeleo hasa katika eneo la biashara. Wafanyabiashara wanaogopa kila kukicha na kufanya eneo/sector kubwa ya kujiajiri kudhorota.

Kimsingi KATIBA MPYA ndio jibu. Waamuzi ni wao. Tanzania ipo katika mkanyiko!
 
Msichokijua,
Hiki kpengele ni mahsusi kwenda kumshughulikia yule afande alomshikia bunduki Nape[emoji4]
 
Wangeua sn na kupita watu kupita kiasi
 
Kweli tupu
 
Kifungu hicho kilikuwa kimewekwa vizuri. Mfano, kama wananchi wanaona mwakilishi hao hawatembelei kujua matatizo yao, "hawawakilishi kikamilifu" basi kifungu kilikuwa kinatoa utaratibu wa kuweza kumwondoa huyo mwakilishi wao na nafasi yake kuchukuliwa na mgombea mwenza aliyepata kura zinazofuatia kwa wingi. Kumbuka maana ya phrase "uwakilishi wa wananchi bungeni" na pia kumbuka phrase "hawawakilishi kikamilifu". Otherwise, tunakuwa na aina ya wawakilishi wanaojiwakilisha wenyewe na wala hawana mpango na wananchi wao kwa sababu wanajua wakati wa kupiga kura watashinda tu.
 
KUNA WABUNGE NCHI HII? KILA KITU NDIO, HATA YAKILETEWA MSWADA KUA BAADA YA MIAKA MITANO WATAENDA JELA WATAPITISHA TU
 
Mkuu Magobe maswali yangu hujanjibu.

Ila shukran. Nimeshapata majibu
 
Unapaswa kujiuliza kilipitaje kwenye baraza la mawaziri.
Yaani waandae wenyewe, wapeleke bungeni kipitishwe alafu wake kukifuta wenyewe. Hapo nani.mwenye tatizo?
Wamesoma. Upepo malalamiko nje kuhusu huo mswada umreashtusha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…