Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe tu boss, hata ukitoa 50 au 100 ni wewe tu.
Nunua. Ili kufyatua tofali 2500 unahitaji mifuko 100 ya cementi. Kama mfuko wa cementi ni 16-18,000/= *100 = 1,800,000/ lori za mchanga 14 @80000/= maji ya kufyatulia na kunyeshea lita 20,000, fundi wa kufyatua tofali@200/= kwa tofali. Piga hesabu uone wapi parefu. Bado fundi hajakuibia cementi
Nunua Tofali mkuu. Huwezi kuokoa gharama wala kupata tofali bora zaidi kwa kufyatua mwenyewe.Habari Wana ujenzi, nilikua naomba ufafanuzi kati ya kununua Tofali za block kutoka kiwandani na kupeleka site na kununua Material na kupeleka site na kufyatua pale pale site
Mfano kama nina million 2 hapo nikinunua Tofali kiwandani napata Tofali 2000 mpaka site je nikifyatua mwenyewe naweza kupata Tofali ngapi,?
Wananunua cementi nyingi kwa bei ya jumla, na wanaletwa hadi site bure.
Wanapata Cementi ya mchongo,
wanafyatua tofali zaidi ya 25 kwa mfuko na kwa kua zinashindiliwa kwa mashine ni ngumu sana.
Akifyatua kwa mkono tofali 30 kwa mfuko zitakuwa za kiwango cha chini sana.
Kwenye kitabu nelkon cha physicskaka hii hesabu umeitoa wapi
Kwa milioni mbili, kama utaamua kupiga tofali mwenyewe, lazima uweke humo gharama za mafundi, mchanga, maji na hata mashine na vibao vya tofali unless unapiga kwa kutumia vibao vya kawaida. Hivyo basi ili ujue utapata tofali ngapi, ni lazima uainishe hizo gharama nyingine. Ila binafsi, napenda kupiga mwenyewe kwani unao uwezo wa kusimamia UBORA NA IDADI na pia kudhibiti wizi wa sementi na hata mchanga unaoweza kufanywa na mafundi wetu hawa wenye njaa kali!Habari Wana ujenzi, nilikua naomba ufafanuzi kati ya kununua Tofali za block kutoka kiwandani na kupeleka site na kununua Material na kupeleka site na kufyatua pale pale site
Mfano kama nina million 2 hapo nikinunua Tofali kiwandani napata Tofali 2000 mpaka site je nikifyatua mwenyewe naweza kupata Tofali ngapi,?
Hisabati za wapi hizi boss..? Yani tofali 2500 zitumie mifuko 100? Kwaiyo mfuko mmoja wa cement unatoa tofali 25 tuNunua. Ili kufyatua tofali 2500 unahitaji mifuko 100 ya cementi. Kama mfuko wa cementi ni 16-18,000/= *100 = 1,800,000/ lori za mchanga 14 @80000/= maji ya kufyatulia na kunyeshea lita 20,000, fundi wa kufyatua tofali@200/= kwa tofali. Piga hesabu uone wapi parefu. Bado fundi hajakuibia cementi
Kwa kua hujajenga Ungepita kimya kimya tuHisabati za wapi hizi boss..? Yani tofali 2500 zitumie mifuko 100? Kwaiyo mfuko mmoja wa cement unatoa tofali 25 tu
mfuko mmoja ni tofali 25?Hiyo ratio nzuri sana .sema siyo mhimu unaweza fanya hata mfuko kwa tofali 30-35Nunua. Ili kufyatua tofali 2500 unahitaji mifuko 100 ya cementi. Kama mfuko wa cementi ni 16-18,000/= *100 = 1,800,000/ lori za mchanga 14 @80000/= maji ya kufyatulia na kunyeshea lita 20,000, fundi wa kufyatua tofali@200/= kwa tofali. Piga hesabu uone wapi parefu. Bado fundi hajakuibia cementi
Amesimuliwakaka hii hesabu umeitoa wapi
Amesimuliwa
Tofali za kupiga kwa mkono hazishindiliwi vizuri kama za umeme, hivyo kufyatua zaidi ya 25 ni mchanga tuAmesimuliwa
Nakushauri kanunue tu mdogo wangu achana na ishu za kufyatua uta compromise na uboraNataka kujua hapa pia