CHIEF MASALAKULANGWA
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 794
- 648
Hata akiamua kufyatua ATAGAWANA RIZIKI na huyo fundi mfyatuaji na kibarua wake au siyo! Natamani aje fundi mwenye data na facts on this issue! Ni kitu kinafikirisha na kina faida sana kwa future house owners! Kidadavueni kwa makini wana JF.Ukitaka akufyatua mwenyewe hiyo 2M itatoa tofari nyingi zaidi kuliko utaza nunua but je, una muda? Mafundi hawachelewi kukupiga, atakuibia cement halafu mfuko 1 anatoa tofari 50 and hence ubora unakua HAFIFU sana; gawana riziki na wengine, kanunue. Huo ndio ushauri wangu