britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
History zao zinajulikana ukichunguza na wengine tunawapa sisi hela ya kutoa MimbaUtajuaje mwanamke kuwa ametoa mimba...?
Na kiporo watakua wanapasha anapoenda kumsalimia mtoto wakeBora mwenye mtoto 100%
Why? Kwasababu anakizazi kizuri utaanzisha familia bila wasiwasi na mtoto uliemkuta ataenda kwababa yake ataishi uko
Hakika leo ma single mother tunawapa shavuuBora mwenye mtoto 100%
Why? Kwasababu anakizazi kizuri utaanzisha familia bila wasiwasi na mtoto uliemkuta ataenda kwababa yake ataishi uko
Nani kakwambia kwamba ataruhusiwa kwenda kumsalimia mtoto, inabidi mtoto aje kumsalimia mama kwangu, siyo mama kwenda kumsalimia mtoto kwa baba yake.Na kiporo watakua wanapasha anapoenda kumsalimia mtoto wake
Nani kakwambia kwamba ataruhusiwa kwenda kumsalimia mtoto, inabidi mtoto aje kumsalimia mama kwangu, siyo mama kwenda kumsalimia mtoto kwa baba yake
Wasijisikie wanyonge ni mashujaa kubeba mimba kabla ya ndoa na kuicha si mchezo ukizingatia yupo kwa wazazi wake bado future inaharibika ghaflaHakika leo ma single mother tunawapa shavuu
Unajua Bw. Mkubwa wanawake wa sasa sijui ni ajabu ya namna gani imewakumba! Sijui ni kiburi cha elimu, au maadili au hizi fikra za mambo ya usawa au pengine nao wanao uwezo wa kutafuta pesa, yaani ni ajabu gani imewafanya kusau uasilia wao. Vyote akiwa navyo bado haimpunguzii wala haimuongezei kwamba yeye ni mwanamke na hali gani yampaasa awe alivyo kama uasilia wake.Wasijisikie wanyonge ni mashujaa kubeba mimba kabla ya ndoa na kuicha si mchezo ukizingatia yupo kwa wazazi wake bado future inaharibika ghafla
Umeneno neno muimu kwaiyo wajikubali na kukabiliana na yote maana ni njia waliyochaguaUnajua Bw. Mkubwa wanawake wa sasa sijui ni ajabu ya namna gani imewakumba! Sijui ni kiburi cha elimu, au maadili au hizi fikra za mambo ya usawa au pengine nao wanao uwezo wa kutafuta pesa, yaani ni ajabu gani imewafanya kusau uasilia wao. Vyote akiwa navyo bado haimpunguzii wala haimuongezei kwamba yeye ni mwanamke na hali gani yampaasa awe alivyo kama uasilia wake.
Yamfaa afikirie kwa uzuri kuwa % kubwa ya wanaume haijalishi awe muhuni ama laa!, Ni ngumu sana kuishi na falsafa ambazo wanawake wa sasa wanajifukiza nazo.
Ndio maana nataka kuoa mwenye mtotoUsiwahukumu wamama wenye watoto wengine siyo Makosa yao Alimpa mwanaume fulani moyo wake Akaamua kumbebea Mimba kumbe jamaa hakuwa na Mpango nae akammwaga na Mimba yake, Akateseka nayo akazaa akipata wa kumuoa wanakuaga na Heshima sana ila wengine ni Shida.
Mwanamke ambaye hajatoa mimba ni bora zaidi katika mantiki ya utu. Hana roho ya kuua.
Hawa wa kutoa mimba hawakawii kukupiga ndumba na hata kukuua mkishapata mali maana kuua kwake ni jambo dogo sana.
Unforgetable
Ndio maana nataka kuoa mwenye mtoto