Ni nzuri sana hata asipopata mtoto mwingine jibu linakuja mwanaume ndiye mwenye shida katika mfumo wa uzazi si mwanamkeBora mwenye mtoto 100%
Why? Kwasababu anakizazi kizuri utaanzisha familia bila wasiwasi na mtoto uliemkuta ataenda kwababa yake ataishi uko
Inategemea kabila na kabila. Kwenu huwezi kuoa aliyezaa.. Kutoa mimba ni siri , itakuwa speculative hiyoNauliza kipi bora hasa
Unakuta mwanamke mwenye mtoto watu wanamkimbia bila kujua faida zake
Ni Bora ambaye Ana mtoto maana kuna muda anakupa matumain kuwa hujaoa mgumba au akizaa watoto awafi
Unamkuta dada mdogo, hajawahi kuzaa, hajaolewa, lakini anatumia uzazi wa mpango. Hapo hapo kashatoa mimba 27 au zaidi! Dada, baadae ukiolewa unaanza kusumbua watumishi wa Mungu wakuombee upate watoto hata hataji Dhambi! Mbona tunamjaribu Muumba? Hata ukishika mimba, itakaa
Usiwahukumu wamama wenye watoto wengine siyo Makosa yao Alimpa mwanaume fulani moyo wake Akaamua kumbebea Mimba kumbe jamaa hakuwa na Mpango nae akammwaga na Mimba yake, Akateseka nayo akazaa akipata wa kumuoa wanakuaga na Heshima sana ila wengine ni Shida.
Oa mwanamke mwema,mwanamke mwenye tabia yule ambaye anajutia alipo kosea, sababu hakuna mkamilifu ila Mola.Nauliza kipi bora hasa
Unakuta mwanamke mwenye mtoto watu wanamkimbia bila kujua faida zake
Ni Bora ambaye Ana mtoto maana kuna muda anakupa matumain kuwa hujaoa mgumba au akizaa watoto awafi
Unamkuta dada mdogo, hajawahi kuzaa, hajaolewa, lakini anatumia uzazi wa mpango. Hapo hapo kashatoa mimba 27 au zaidi! Dada, baadae ukiolewa unaanza kusumbua watumishi wa Mungu wakuombee upate watoto hata hataji Dhambi! Mbona tunamjaribu Muumba? Hata ukishika mimba, itakaa
AhsanteKila la kheri.
Mziki gani huo tupe uzoefu tafadhaliSishaur mtu kuoa single,maana mzik wake ni noma
Nauliza kipi bora hasa
Unakuta mwanamke mwenye mtoto watu wanamkimbia bila kujua faida zake
Ni Bora ambaye Ana mtoto maana kuna muda anakupa matumain kuwa hujaoa mgumba au akizaa watoto awafi
Unamkuta dada mdogo, hajawahi kuzaa, hajaolewa, lakini anatumia uzazi wa mpango. Hapo hapo kashatoa mimba 27 au zaidi! Dada, baadae ukiolewa unaanza kusumbua watumishi wa Mungu wakuombee upate watoto hata hataji Dhambi! Mbona tunamjaribu Muumba? Hata ukishika mimba, itakaa
Nauliza kipi bora hasa
Unakuta mwanamke mwenye mtoto watu wanamkimbia bila kujua faida zake
Ni Bora ambaye Ana mtoto maana kuna muda anakupa matumain kuwa hujaoa mgumba au akizaa watoto awafi
Unamkuta dada mdogo, hajawahi kuzaa, hajaolewa, lakini anatumia uzazi wa mpango. Hapo hapo kashatoa mimba 27 au zaidi! Dada, baadae ukiolewa unaanza kusumbua watumishi wa Mungu wakuombee upate watoto hata hataji Dhambi!
Mbona tunamjaribu Muumba?
Hata ukishika mimba, itakaa
[/QUOTE
yoyote yule, awe ana mtoto, alitoa mimba au hakutoa mradi tu umpende akupende muelewane
History zao zinajulikana ukichunguza na wengine tunawapa sisi hela ya kutoa Mimba
[/QUOTE
Sikushauri uoe MAMA WA MAREHEMU.Japo singo maza nao ni changamoto coz mume mwenzio lazima aongee na mzazi mwenzake.na Kama mazingira yanawaruhusu kuonana kumbuka hawatongozani tena ,ni kutabasamu kidogo na kushikana mikono na kwenda uwanjani kwa seremala.show inaendelea.Labda awe mwanamke stebo sana anaeweza kumuvu on.na akaweka heshima yke na ya kwako.
Hebu fikiri wewe uchumi wako ni tia maji tia maji,halafu mume mwenzio yuko stebo kiuchumi na wanasasiliana.
Hitimisho...usioe mama wa marehemu.kimbia kabisa km umegundua.si afya kiroho na kimaisha.
Oa bikra mkuuHapo ndio najikuta nipo katika wakati mgumu mpaka Sasa nioe yupi niache yupi maana ule usemi unaosema Ujana NI maji ya Moto Tena ya kusongea ugari naanza kuuona, sometime huwa najikuta Sina amani moyoni kwa Mambo ninayoyasikia kutoka kwa watu wazima
Vipi akiwa ni singo mama na alisha toa mimba?Nauliza kipi bora hasa
Unakuta mwanamke mwenye mtoto watu wanamkimbia bila kujua faida zake
Ni Bora ambaye Ana mtoto maana kuna muda anakupa matumain kuwa hujaoa mgumba au akizaa watoto awafi
Unamkuta dada mdogo, hajawahi kuzaa, hajaolewa, lakini anatumia uzazi wa mpango. Hapo hapo kashatoa mimba 27 au zaidi! Dada, baadae ukiolewa unaanza kusumbua watumishi wa Mungu wakuombee upate watoto hata hataji Dhambi!
Mbona tunamjaribu Muumba?
Hata ukishika mimba, itakaa
Dawa ni kuoa bikra tuNauliza kipi bora hasa
Unakuta mwanamke mwenye mtoto watu wanamkimbia bila kujua faida zake
Ni Bora ambaye Ana mtoto maana kuna muda anakupa matumain kuwa hujaoa mgumba au akizaa watoto awafi
Unamkuta dada mdogo, hajawahi kuzaa, hajaolewa, lakini anatumia uzazi wa mpango. Hapo hapo kashatoa mimba 27 au zaidi! Dada, baadae ukiolewa unaanza kusumbua watumishi wa Mungu wakuombee upate watoto hata hataji Dhambi!
Mbona tunamjaribu Muumba?
Hata ukishika mimba, itakaa