Kipi bora: Kuoga Usiku au Asubuhi?

Duh!!! Ww mume wako anashida. Inabidi acheze na Maji muda wote na ma Sensodyne ya kutosha
 
Mimi napenda kuoga asubuhi tu, usiku nalazimishwa
 
usiku. sijawahi kuoga usiku halafu nisitake papuchi ya shemeji/wifi yenu.
 

Wafanyakazi wa ndani waliopitia kwangu wengi wao harufu ya mwili ilikua haishi, hata aoge vipi, ajipake manukato vipi lakini harufu iko pale pale, haina tofauti na beberu la mbuzi. Na sio wao tu, watu weusi wengi wao huku nilipo wako hivyo. Sijui ni kwanini!!
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Yaan umesoma comment utacheka mno watu hawapendi kuoga
Wanaume mnaooga mara mbili kwa siku mbarikiweee maana huwa mnanukia vizurii sana
Wale ambao hamuogi sipati picha madem zao
 

Baada ya muda harufu huisha lakin ukimnunulia deodorant na akaoga mara tatu kwa siku na na ajisugue na limao makwapani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…